• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MIFUKO 462 YA MBOLEA YA TUMBAKU YA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA MILAMBO ILIYOKUWA IMEPOTEA IMEPATIKANA

Posted on: December 30th, 2020

HATIMAYE mifugo 462 ya mbolea yenye thamani ya shilingi milioni 55  ya  Chama Kikuu cha Ushirika Milambo Ltd mkoani Tabora iliyokuwa imepotea katika mazingira ya kutatanisha na kumfanya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati kuagiza kukamatwa kwa Wajumbe  wa Bodi   na baadhi  ya watendaji imepatikana.

 

Akizungunza  wilayani Urambo kabla ya kukabidhi mifuko , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo alisema baada ya  Mkuu wa Mkoa wa Tabora kutoa siku mbili kwa Polisi kuhakikisha wanapata mbolea yote walitumia kutumia mbinu mbalimbali za kuwabana baadhi ya watu waliokutwa na aina mbolea ambayo ilikuwa imepotea na hatimaye wamerejesha mifuko yote. 


Alisema kuwa mbolea yote iliyopatikana imehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Urambo wakisubiri kuikabidhi kwa Mkuu wa Mkoa ili naye awakabidhi wahusika.

 

Dkt. Sengati akipokea mifuko hiyo alilipongeza Jeshi la Polisi kwa kufanyakazi kwa haraka na kuhakikisha mifuko yote iliyokuwa imepotea inarudisha kwa ajili ya kupelekwa walengwa  ili isaidie malengo ya kuendeleza zao la tumbaku mkaoni humo.

 

Alisema baada ya kupatikana mbolea yote hatua inafuata ni kuhakikisha mnyororo wote wa wahusika na upotevu huo unachukuliwa hatua nyingine kwa kuzingatia taratibu na  kisheria ili kuondoa mzizi huo unaochafua ushirika Mkoani Tabora.

Dkt. Sengati alimwagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora kuufuatilia mnyoyoro wote wa wizi wa pembejeo za wakulima ili kutoa somo kwa wengine wenye tabia hizo chafu na hatimaye kurudisha imani kwa wakulima na zao zima la tumbaku.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema muda wa kutaka kupata utajiri kwa njia ya rushwa, wizi, ubadhirifu na kuwanyonya wayonge umekwisha kinachotakiwa kila mtu afuate taratibu na sio njia za mkato kupata utajiri.

Dkt. Sengati alisema hawezi kukubali kuona kuwa baadhi ya watumishi, viongozi wa Ushirika, Benki na Kampuni waliopewa dhamana na Serikali wanashirikiana kuiba mali , pembejeo na fedha za wakulima.

Alisema wakulima wa tumbaku na mazao mengine ni lazima wanufaike na nguvu zao na wafurahie uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ya kutetea haki za wayonge.

  

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa