• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Utoaji wa Leseni za Biashara

USIMAMIZI WA UTOAJI WA LESENI ZA BIASHARA KWA MKOA WA TABORA

Mamlaka za utoaji wa leseni za biashara za kundi ‘B’ zinatoa leseni hizi kwa uwazi kwa kuweka taratibu zinazotakiwa kutimizwa na waombaji na kiasi cha ada wanachotakiwa kulipa kulingana na biashara wanazoomba kwenye tovuti zao na mbao za matangazo ili wanachi wajue kiasi wanachopaswa kulipa na taratibu za kufuata ili kupata leseni. Aidha, malipo yote ya ada za leseni hulipwa kupitia Benki na hivyo kuondoa mwanya wa uvujaji wa mapato ya Serikali. Mwelekeo wa sasa ni kuanza kutoa leseni kwa njia za kieletroniki ili kurahisisha huduma hiyo. Kwa leseni za kundi ‘A’ BRELA wapo katika hatua za mwisho za maandalizi ya utoaji leseni kielertoniki.


 Mkoa umekuwa ukisimamia Sheria ya Leseni ya Mwaka 1972 kwa kuzihamashisha halmashauri kuwarasimisha wafanyabiashara wake kwa kuwapatia leseni ambazo zitaongeza mapato na pia Mkoa umekuwa  ukifanya ukaguzi wa hali ya utekelezaji wa Sheria ya leseni. Mamlaka za serikali za Mitaa zimekuwa zikihamasisha wafanyabiashara kuteleleza Sheria ya Leseni za biashara na zimekuwa zikitoa leseni mbalimbali za biashara kwa wafanyabiashara. Jumla ya Vitabu vya Leseni ya Biashara 107 vimetumika kwa mwaka wa fedha 2021/2022 na kukusanya jumla ya Tsh.1,139,326,650 katika Mkoa wa Tabora. Vitabu vya leseni 18 vinaendelea kutumika hadi ifikapo tarehe 30/06/2022


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • "SIKU YA WAUGUZI DUNIANI, RAS TABORA ASISITIZA MAADILI, USTAWI NA UWAJIBIKAJI."

    May 30, 2025
  • RAS TABORA AKUTANA NA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU LA TABORA,ASKOFU BUDUDU;ATOA PONGEZI NA SALAMU ZA SERIKALI

    May 29, 2025
  • DKT. MBOYA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA TASAF AWAMU YA TATU, ATOA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI MZURI

    May 29, 2025
  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa