• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DC MAGEMBE AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE MKOA WA TABORA.

Posted on: March 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Mhe. Cornel Lucas Magembe, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Chacha, ameongoza kikao cha tathmini ya mkataba wa lishe katika ngazi ya mkoa, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Isike Mwanakiyungi.

Katika ufunguzi wa kikao hicho, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya, alizipongeza halmashauri zilizotekeleza afua za lishe kwa ufanisi na kufikia alama ya kijani. Hata hivyo, alibainisha kuwa bado kuna changamoto chache katika masuala ya lishe,ikiwemo udumavu, utapiamlo, na changamoto za afya ya uzazi. Alisisitiza kuwa kila kiongozi anapaswa kutimiza wajibu wake kwa ubunifu ili kuhakikisha afua za lishe zinatekelezwa kwa ufanisi zaidi.

Aidha, Dkt. Mboya aliwataka wataalam wa halmashauri kusimamia kwa umakini suala la usafi wa mazingira, akibainisha kuwa mazingira safi ni msingi wa afya bora. Alionya kuwa uchafu wa mazingira unasababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, hivyo ni muhimu kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri kushirikiana kusimamia usafi kwa kutumia sheria ndogo za mamlaka za serikali za mitaa.

Kwa upande wake, Mhe. Magembe alitoa maelekezo kwa wataalam wa halmashauri kuhakikisha shule za msingi na sekondari, zahanati, na vituo vya afya vinatoa chakula chenye lishe bora. Pia, alisisitiza upandaji wa miti ya matunda katika taasisi hizo ili kuongeza upatikanaji wa lishe bora kwa wanafunzi pamoja na wananchi wanaofika hospitali kupata huduma za afya.

Katika hatua nyingine, alihimiza uhamasishaji wa wananchi kujenga vyoo bora kwa gharama nafuu ili kuondokana na magonjwa ya mlipuko.

Kikao hicho kilihitimishwa kwa maazimio kadhaa muhimu, ikiwemo kuhakikisha wakurugenzi wa halmashauri wanasimamia vyema utoaji wa fedha kwa ajili ya upatikanaji wa chakula shuleni, ujenzi wa vyoo bora, na kuandaa mkakati maalum wa upandaji wa miti ya matunda na bustani za mboga shuleni. Pia, ilisisitizwa utoaji wa elimu kuhusu malezi bora na maadili kwa watoto, pamoja na juhudi za kuzuia vitendo va ukatili  kwa watoto na ndoa za utotoni.

Mwisho

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa