• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DKT. MBOYA AWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA HOLYKITCHEN KWA USHINDI WA TUZO YA KITAIFA.

Posted on: April 9th, 2025

Na. Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya, ametoa pongezi kwa kampuni ya HolyKitchen Tanzania Co. Ltd kwa kutwaa tuzo katika hafla ya tano ya utoaji wa Tuzo za Wanawake Wenye Viwanda nchini, iliyofanyika Machi 26, 2025 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

Akizungumza ofisini kwake wakati akipokea ugeni kutoka kwa wajasiriamali hao, Dkt. Mboya aliwapongeza kwa ubunifu na juhudi zao zilizozaa matunda ya ushindi. Alisema ushindi huo ni heshima kubwa kwa Mkoa wa Tabora na unatoa motisha kwa wajasiriamali wengine kuendelea kuongeza bidii.

“Hii ni ishara kwamba Tabora tunayo hazina ya wajasiriamali wabunifu na wachapakazi. Serikali inaendelea kuunga mkono juhudi hizi kupitia mikopo isiyo na riba ya asilimia 10 inayotolewa kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu,” alisema Dkt. Mboya.

HolyKitchen Co. Ltd ni kampuni inayojishughulisha na mnyororo wa thamani wa uchakataji wa mazao ya maziwa. Kupitia mafanikio yao, waliwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa kutoa shukrani kwa serikali kwa kuwawezesha kupitia mikopo isiyo na riba pamoja na kutambulisha tuzo waliyotwaa kwa uongozi wa mkoa.

Ugeni huo uliongozwa na Mkurugenzi wa Bodi ya Tanzania Women’s Chamber of Commerce (TWCC) Kanda ya Kati, Bi. Lucy Mtinya, akifuatana na Mwenyekiti wa TWCC Mkoa wa Tabora, Bi. Teresia Mzobora. Pia walikuwepo wanachama wa TWCC akiwemo Bi. Fatuma Kisanji pamoja na Bi. Winfrida Mkombe ambaye ndiye mshindi wa tuzo hiyo.

Tuzo hizo hutolewa kwa kutambua mchango wa wanawake katika sekta ya viwanda na biashara, ambapo kwa mwaka huu mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jaffo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE, CHACHA AKEMEA UZEMBE NA KUTOWAJIBIKA KWA BAADHI YA WATUMISHI WA SHULE YA WASICHANA TABORA

    June 10, 2025
  • MSAADA WA TREKTA KUTOKA SERIKALINI KUFUNGUA MILANGO YA KITIVO CHA KILIMO NA MAZINGIRA AMUCTA – MHE. CHACHA AONGOZA HAFLA YA MAKABIDHIANO.

    June 10, 2025
  • WATUHUMIWA 11 MBARONI KWA KUJIHUSISHA NA KILIMO CHA BANGI KATIKA ENEO LA HIFADHI YA MTO IGOMBE – TABORA.

    June 09, 2025
  • TABORA YAHITIMISHA MASHINDANO YA UMISSETA: MANISPAA YA TABORA YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KATIKA MASHINDANO HAYO NGAZI YA MKOA

    June 06, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa