• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KATIBU TAWALA WA MKOA WA TABORA AFANYA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE

Posted on: March 1st, 2025

Tabora,Tarehe 1 Machi , 2025.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Rogath Mboya, leo amefanya mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake, akitoa maelezo muhimu kuhusu maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi.

 Akizungumza kwenye mkutano huo, Mhe. Dkt. Mboya alisisitiza umuhimu wa kuungana pamoja kama jamii katika kutetea haki za wanawake na wasichana, na kuhakikisha kuwa kila aina ya vikwazo vinavyowazuia wanawake kujikwamua kiuchumi na kufikia usawa vinatokomezwa. Alisema kuwa hilo ni jukumu letu sote, kwa kuzingatia makubaliano ya sheria za kimataifa zinazotetea haki za wanawake.

Dkt. Mboya alieleza changamoto kubwa inayozorotesha maendeleo ya wanawake na watoto wa kike mkoani Tabora, akitaja mimba za utotoni,mila na desturi potofu zinazokandamiza wanawake katika jamii nyingi za Kiafrika kama kikwazo kikubwa. Alitoa wito kwa jamii kushirikiana ili kumaliza changamoto hizi na kuimarisha hali ya maisha ya wanawake na wasichana katika mkoa wa Tabora.

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka huu 2025 yatafanyika kitaifa mkoani Arusha, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Aidha, maadhimisho ya kikanda yatafanyika mkoani Kigoma, na mgeni rasmi katika maadhimisho hayo atakuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango.

Kimkoa, maadhimisho haya yatafanyika katika Halmashauri ya Mji wa Nzega, katika uwanja wa Samora na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Paul Matiko Chacha,Mkuu wa mkoa wa Tabora.

Dkt.Mboya ametoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho haya, na ameelekeza mamlaka ya serikali kuanzia ngazi ya kijiji, kata, wilaya, na mkoa kufanya maandalizi ya maadhimisho haya, kwa lengo la kuonesha hali halisi ya mapambano na mafanikio ya ukombozi wa wanawake na wasichana katika jamii.

Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2025 ni: "Wanawake na Wasichana Mwaka 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji!"

 

 

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BODI YA WADHAMINI MFUKO WA MISITU TANZANIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO TABORA.

    May 07, 2025
  • NAIBU WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA.

    May 03, 2025
  • DKT. BITEKO AIPONGEZA TANESCO NA ETDCO KWA JUHUDI ZA KUBORESHA HUDUMA YA UMEME URAMBO

    May 02, 2025
  • SERIKALI IPO KAZINI KUBORESHA HAKI NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI, WAFANYAKAZI NI UTI WA MGONGO WA TAIFA – MHE. SAUDA MTONDOO,

    May 01, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa