• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MHE. CHACHA ACHUKUA HATUA ZA KISHERIA BAADA YA KUBAINI UBADHILIFU KATIKA MRADI WA UJENZI WA SOKO KUU TABORA

Posted on: December 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha ameiongoza Kamati ya Usalama ya Mkoa kukagua mradi wa ujenzi wa Soko Kuu la Manispaa ya Tabora, unaotekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 19.9 kwa ufadhili wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia mkopo wa Benki ya Dunia.

Katika ukaguzi huo, ilibainika kuwa mradi umekumbwa na ucheleweshaji kutokana na kugundulika kwa maji mengi kwenye udongo katika kina kifupi cha ardhi, hali iliyohitaji marekebisho ya usanifu wa msingi ili kuhakikisha uimara wa majengo.

Wakati wa tathmini ya taarifa za utekelezaji, Mhe. Chacha alipokea maelezo yanayohusu madai ya matumizi mabaya ya fedha za mradi. Taarifa hizo zilitokana na mawasiliano rasmi kati ya mkandarasi na meneja wa mradi, Mhandisi Francis Mwakajinga, ambapo ilidaiwa kuwepo kwa matumizi yasiyo sahihi ya fedha. Meneja huyo alithibitisha kuwepo kwa matumizi hayo ambayo yanakadiriwa kufikia shilingi milioni 117.

Mhe. Chacha ameonesha kuchukizwa na vitendo vya aina hiyo, na ameeleza kuwa vitendo hivyo vinakinzana na sheria na vinaathiri juhudi za serikali katika kuharakisha maendeleo kwa wananchi. Ameagiza Jeshi la Polisi kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa taratibu za kisheria pamoja na kumundoa Mhandisi huyo katika kazi ya kusimamia mradi huo.

Mradi wa Soko Kuu la Tabora ni miongoni mwa miradi mikubwa chini ya mpango wa Uboreshaji Miundombinu Shindanishi katika Miji (TACTIC) na ni sehemu ya ahadi iliyotolewa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa wananchi wa Tabora katika kuelekea kukamilisha miundombinu inayochochea huduma na uchumi wa eneo hilo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AFUNGUA MKUTANO WA TAPSHA MKOA, ATOA WITO KWA WALIMU KUJIENDELEZA KIELIMU ILI KUWA MAHILI KATIKA UTENDAJI KAZI WAO.

    December 02, 2025
  • MHE. CHACHA ACHUKUA HATUA ZA KISHERIA BAADA YA KUBAINI UBADHILIFU KATIKA MRADI WA UJENZI WA SOKO KUU TABORA

    December 01, 2025
  • MAHAFALI YA 11 AMUCTA: DKT. MBOYA AWAASA WAHITIMU KUITUMIA ELIMU WALIYOIPATA KWA MAENDELEO YA TAIFA

    November 29, 2025
  • “WATAALAMU WA KILIMO TWENDENI TUKASIMAMIE UZALISHAJI KWA KUZINGATIA UTABIRI WA HALI YA HEWA.” DKT. MBOYA

    November 06, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa