• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MHE. PAULO CHACHA APOKEA UWEKEZAJI MKUBWA WA UJENZI WA KIWANDA CHA MBOLEA UTAKAONUFAISHA WAKULIMA WA NDANI NA NJE YA MKOA WA TABORA

Posted on: December 5th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha, amepokea ugeni kutoka Kampuni ya United Capital Fertilizer of Zambia ya nchini Zambia ambao wameonesha nia thabiti ya kuwekeza nchini Tanzania kwa kujenga kiwanda kikubwa cha mbolea katika Mkoa wa Tabora.

Ugeni huo, ukiwa katika ziara ya kutathmini fursa za uwekezaji, umetembelea eneo linalopendekezwa kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho lililopo Kata ya Ilolangulu, Wilaya ya Uyui. Eneo hilo linakadiriwa kuwa na zaidi ya ekari 2,000 na limependekezwa kutokana na nafasi yake ya kimkakati na upatikanaji wa ardhi ya kutosha kwa ajili ya shughuli za viwandani.

Baada ya kukagua eneo hilo leo, Desemba 5, 2025, wawakilishi wa United Capital Fertilizer wameeleza kuridhishwa kwao na mazingira ya eneo husika na hatua zilizochukuliwa na uongozi wa mkoa katika kuratibu mchakato wa uwekezaji.

Kwa mujibu wa tathmini za awali, uwekezaji huo unatarajiwa kuleta manufaa makubwa kwa wananchi wa Tabora na Tanzania kwa ujumla, ikiwemo kuongeza ajira kwa vijana, kuimarisha upatikanaji wa mbolea kwa bei nafuu, na kuchochea ukuaji wa kilimo cha kibiashara. Aidha, kiwanda hicho kitachangia kuongeza pato la mkoa na taifa kupitia kodi, pamoja na kuimarisha mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo ambao ni uti wa mgongo wa uchumi wa maeneo mengi nchini.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. PAULO CHACHA APOKEA UWEKEZAJI MKUBWA WA UJENZI WA KIWANDA CHA MBOLEA UTAKAONUFAISHA WAKULIMA WA NDANI NA NJE YA MKOA WA TABORA

    December 05, 2025
  • MHE. CHACHA AFUNGUA MKUTANO WA TAPSHA MKOA, ATOA WITO KWA WALIMU KUJIENDELEZA KIELIMU ILI KUWA MAHILI KATIKA UTENDAJI KAZI WAO.

    December 02, 2025
  • MHE. CHACHA ACHUKUA HATUA ZA KISHERIA BAADA YA KUBAINI UBADHILIFU KATIKA MRADI WA UJENZI WA SOKO KUU TABORA

    December 01, 2025
  • MAHAFALI YA 11 AMUCTA: DKT. MBOYA AWAASA WAHITIMU KUITUMIA ELIMU WALIYOIPATA KWA MAENDELEO YA TAIFA

    November 29, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa