• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MKUU WA MKOA WA TABORA AONGOZA WANANCHI KUPIGA KURA, AIPONGEZA TUME HURU YA UCHAGUZI KWA MAANDALIZI MAZURI

Posted on: October 29th, 2025

Na. OMM Tabora.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha, ameongoza wananchi wa mkoa huo katika kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kujitokeza mapema kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka, katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Kitete, leo asubuhi.

Baada ya kupiga kura, Mhe. Chacha alizungumza na waandishi wa habari na kuipongeza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa maandalizi mazuri ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu, akibainisha kuwa zoezi linaendelea kwa amani, utulivu na ufanisi katika maeneo yote ya mkoa wa Tabora.

“Niwapongeze sana NEC kwa maandalizi bora na uendeshaji wa uchaguzi huu. Vituo vimefunguliwa kwa wakati, watendaji wanafanya kazi kwa weledi, na wananchi wanajitokeza kwa wingi kutekeleza wajibu wao wa kikatiba,” alisema Mhe. Chacha.

Aidha, amewataka wananchi wa Tabora kuendelea kudumisha amani na mshikamano wakati wote wa mchakato wa uchaguzi na kuhakikisha kila mmoja anatumia haki yake ya kidemokrasia kwa utulivu bila ushawishi au vurugu.

Zoezi la upigaji kura limeanza saa 1:00 asubuhi na linatarajiwa kufungwa saa 10:00 jioni katika vituo vyote nchini.


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • “WATAALAMU WA KILIMO TWENDENI TUKASIMAMIE UZALISHAJI KWA KUZINGATIA UTABIRI WA HALI YA HEWA.” DKT. MBOYA

    November 06, 2025
  • MKUU WA MKOA WA TABORA AONGOZA WANANCHI KUPIGA KURA, AIPONGEZA TUME HURU YA UCHAGUZI KWA MAANDALIZI MAZURI

    October 29, 2025
  • MAANDALIZI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MKOA WA TABORA YAKAMILIKA: WANANCHI WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUPIGA KURA, OKTOBA 29

    October 27, 2025
  • MKUU WA MKOA WA TABORA AONGOZA DUA MAALUM YA KULIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.

    October 24, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa