• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MWENGE UMEZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YA SHILINGI BILIONI 1.4 WILAYANI KALIUA

Posted on: July 15th, 2021

NA TIGANYA VINCENT

MWENGE wa Uhuru umezindua miradi sita ya maendeleo yenye jumla ya shilingi bilioni 1.4 wilayani Kaliua.

Kati ya fedha hizo Serikali kuu imetoa shilingi bilioni 1.3, Halmashauri imechangi milioni 107.9, michango ya wananchi milioni 19 na michango ya sekta binafsi imechangia milioni 4.6.

Uzinduzi huo umefanywa leo na Kiongozi wa Kitaifa wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kaliua.

Katika mradi wa kwanza mwenge wa uhuru umetoa mikopo ya pikipiki yenye thamani ya shilingi bilioni 76.2 kwa vikundi vya vijana Kata ya Sasu, Nhwande na Usenye.

Luteni Josephine aliwataka vijina ambao hawana Leseni kutoendesha Pikipiki hizo kabla ya kupata mafunzo yatakayowasaidia kujikinga na ajali na kujiepusha kuwasababishi watu wengine ajali.

Kiongozi alizindua mradi wa maji ya bomba Mji w Kaliua ambao umegharimu shilingi milioni 571.6.

Akizindua mradi huo aliwataka Watendaji wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA) kuhakikisha wanawashirikisha wananchi toka hatua za awali za utekelezaji wa miradi ili iweze kuwa endelevu na wao sehemu ya mradi husika.

Akiweka Jiwe la Msingi ujenzi wa Kituo cha Afya Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine aliutaka uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kumazilia haraka majengo yaliyobaki ya Kituo cha Afya cha Uyowa ambacho yanatarajiwa kugharimu shilingi milioni 648.6.

Alisema kwa kuwa fedha zipo hakuna haja ya kuchewesha ujenzi wa Kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi.

Luteni Josephine alizindua Mnara wa Kampuni ya Simu ya Tanzania(TTCL) katika Kijiji cha Ulindwanoni ambao umegharimu shilingi milioni 173 na ukaguzi wa mfumo wa CCTV Kamera katika Stendi mpya ya mabasi Kaliua.

Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kwa kuanzisha Kamera ya Usalama katika Kituo cha Mabasi ambayo imewasaidia kudhibiti upotevu wa mapato na kutekeleza kwa Vitendo ujumbe wa Mwenge wa Mwaka huu ambao ni Tehama ni Msingi wa Taifa endelevu ;itumie kwa usalama na uwajibikaji.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa