• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA ASHIRIKI MKUTANO WA WADAU WA TUMBAKU, DODOMA

Posted on: March 28th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiko Chacha amekuwa miongoni mwa wakuu wa mikoa 13 walioshiriki  kwenye mkutano wa mwaka wa wadau wa Tumbaku kitaifa uliofanyika leo Machi 28, 2024 jijini Dodoma.

Mkutano huo ulifunguliwa na mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe wenye malengo ya kuangalia maendeleo ya zao la tumbaku na tafiti mbalimbali zinazohusiana na zao hilo.


Tumbaku ni zao linalolimwa mkoani Tabora na mikoa mingine 12 ambapo zaidi ya asilimia 95 ya zao hilo huuzwa kwenye masoko ya nje ya nchi ambapo mauzo yake yameongezeka kutoka Dola za Marekani 106,278,461!47 mwaka 2020/2021 hadi kufikia Dola za Marekani 389,556,750 mwaka 2023/2024 kufikia Desemba 2023 na bado mauzo yanaendelea.

Aidha, Mkutano umeshirikisha wadau wengi wakiwemo Wakuu wa Mikoa inayozalisha Tumbaku; Wabunge kutoka Majimbo yanayozalisha Tumbaku; wanunuzi; wasindikaji; wachakataji; watafiti; Agriculture Council of Tanzania; Taasisi za Fedha; Vyama Vikuu vya Wakulima wa Tumbaku; na Wasambazaji wa Pembejeo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA ATEMBELEA NYUMBA YA HURUMA YA MAMA TERESA, AKABIDHI MSAADA KWA WAHITAJI.

    December 31, 2025
  • DKT. JOHN MBOYA AKAGUA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO TABORA, ATOA WITO WA TAHADHARI NA UZINGATIAJI WA SHERIA ZA UJENZI

    December 22, 2025
  • MHE. PAULO CHACHA APOKEA UWEKEZAJI MKUBWA WA UJENZI WA KIWANDA CHA MBOLEA UTAKAONUFAISHA WAKULIMA WA NDANI NA NJE YA MKOA WA TABORA

    December 05, 2025
  • MHE. CHACHA AFUNGUA MKUTANO WA TAPSHA MKOA, ATOA WITO KWA WALIMU KUJIENDELEZA KIELIMU ILI KUWA MAHILI KATIKA UTENDAJI KAZI WAO.

    December 02, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa