• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA: TUZIDI KUMUOMBEA MH.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

Posted on: April 12th, 2023

RC TABORA: TUDIZI KUMUOMBEA MH.RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN.

_________________________


Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Balozi Dkt. Balozi Batilda Salha Burian amewataka waumini wa dini mbalimbali kuzidi kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt.Samia Suluhu Hassan ili aweze kutekeleza mipango ya maendeleo ya taifa letu.


Ameyasema hayo wakati alipohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa na kampuni ya Mkwawa Tobacco Leaf kwa kushirikiana na Baraza La Waislamu Tanzania ( BAKWATA) mkoa wa Tabora. Amewataka viongozi wa dini mbalimbali kusimamia masuala ya maadili hasa kwenye kipindi hiki ambacho taifa linakabiriliwa na mmomonyoko wa maadili.


Aidha ameipongeza kampuni ya Mkwawa Tobacco Leaf  kwa kushirikiana na BAKWATA mkoa wa Tabora kwa  kutembelea na kutoa misaada (sadaka) kwa baadhi ya vituo vya watoto wenye mahitaji maalumu.


Hii ni mara ya pili Dkt. Batilda Burian kuhudhuria hafla ya futari, ambapo hafla ya kwanza alihudhuria tarehe 05/04/2023 iliyoandaliwa na Benk ya CRDB.

_______________________

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA TABORA December 14, 2022
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • NAMBA ZA MAWASILIANO OFISI YA MKOA TABORA November 23, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Uzinduzi wa miradi YA MAJI WILAYANI SIKONGE

    April 06, 2023
  • RC TABORA: TUZIDI KUMUOMBEA MH.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    April 12, 2023
  • DC MWANSASU AMUUNGA MKONO RC TABORA KATIKA UPANDAJI WA MITI

    April 11, 2023
  • JUMLA YA MIRADI SABA YA MAJI KUZINDULIWA WILAYANI IGUNGA

    April 24, 2023
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • Government Portal
  • SALARYSLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa