• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TABORA YAHITIMISHA MASHINDANO YA UMISSETA: MANISPAA YA TABORA YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KATIKA MASHINDANO HAYO NGAZI YA MKOA

Posted on: June 6th, 2025

Na Mwandishi Wetu, Tabora.

Mkoa wa Tabora leo umehitimisha kwa mafanikio makubwa kambi ya michezo ya UMISSETA ngazi ya mkoa, ambapo Manispaa ya Tabora imeibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ujumla, ikiwa imejizolea alama 133. Hafla ya kufunga rasmi mashindano hayo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya wavulana Tabora, na kuhudhuriwa na maelfu ya wanamichezo, walimu, viongozi wa serikali na wazazi.

Akizungumza wakati wa kufunga mashindano hayo, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi anayeshughulikia elimu, Mwalimu Upendo Rweyemamu, aliwapongeza wanamichezo wote kwa kushiriki kwa moyo wa uzalendo na ushindani wa kweli, akisema kuwa mashindano hayo yametimiza lengo la kuchagua wachezaji mahiri watakaoiwakilisha Tabora kwenye mashindano ya kitaifa ya UMITASHUMTA na UMISSETA yatakayofanyika mkoani Iringa kuanzia Juni 7 hadi Juni 30, 2025.

Katika matokeo ya jumla, Halmashauri ya Wilaya ya Igunga ilishika nafasi ya pili, ikifuatiwa na Kaliua katika nafasi ya tatu. Urambo ilichukua nafasi ya nne, Sikonge ya tano, Nzega Mji ya sita, Nzega ya saba, na Uyui ikifunga orodha ya washiriki kwa kushika nafasi ya nane.

Katika hatua ya kipekee na yenye hamasa, Mwalimu Upendo aliwakabidhi wanamichezo wa UMITASHUMTA bango maalum lenye ujumbe wa kuwahamasisha kutetea heshima ya Tabora kitaifa. Alisisitiza umuhimu wa maadili, nidhamu, na uzalendo miongoni mwa vijana hao, akibainisha kuwa michezo ni daraja la kukuza vipaji na kuimarisha mshikamano wa taifa.

Kauli mbiu ya mashindano ya Umitashumta na Umisseta mwaka huu ni: "Viongozi Bora ni Msingi wa Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo – Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu." Kauli mbiu hii imekuwa mhimili wa hamasa kwa washiriki wote, ikielekeza fikra za vijana si tu katika ushindani wa kimchezo, bali pia katika kushiriki kwa tija kwenye masuala ya kijamii na kitaifa, hasa katika muktadha wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi Oktoba mwaka 2025.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE, CHACHA AKEMEA UZEMBE NA KUTOWAJIBIKA KWA BAADHI YA WATUMISHI WA SHULE YA WASICHANA TABORA

    June 10, 2025
  • MSAADA WA TREKTA KUTOKA SERIKALINI KUFUNGUA MILANGO YA KITIVO CHA KILIMO NA MAZINGIRA AMUCTA – MHE. CHACHA AONGOZA HAFLA YA MAKABIDHIANO.

    June 10, 2025
  • WATUHUMIWA 11 MBARONI KWA KUJIHUSISHA NA KILIMO CHA BANGI KATIKA ENEO LA HIFADHI YA MTO IGOMBE – TABORA.

    June 09, 2025
  • TABORA YAHITIMISHA MASHINDANO YA UMISSETA: MANISPAA YA TABORA YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KATIKA MASHINDANO HAYO NGAZI YA MKOA

    June 06, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa