• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TIMU YA SAMIA TEACHERS MOBILE CLINIC YAWASILI MKOA WA TABORA KUTATUA KERO ZA WALIMU.

Posted on: February 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Matiko Chacha, amefungua rasmi zoezi la huduma tembezi ya Samia, inayojishughulisha na utatuzi wa changamoto za walimu nchini, katika ukumbi wa mikutano wa Isike Mwanakiyungi, mkoani Tabora.

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bi. Leah Ulaya, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kukiamini Chama cha Walimu Tanzania kuhusika na zoezi hili muhimu la kitaifa, linalolenga kuhakikisha changamoto zote za walimu zinatatuliwa kwa wakati, na kwamba kila mwalimu anafanya kazi katika ufanisi na akiwa katika hali bora.

Bi. Ulaya aliyasema hayo wakati akitoa salamu za CWT mbele ya walimu kutoka wilaya za mkoa wa Tabora pamoja na mikoa jirani waliohudhuria kwa ajili ya kutatuliwa changamoto zao.

Akiongea na walimu wa mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake na kuelekeza jambo hili lifanyike mikoa yote ya Tanzania, na ana matumaini kwamba sasa changamoto nyingi za walimu zitapatiwa ufumbuzi. Aidha, amewaasa walimu nchini kushikamana kwani umoja ni nguvu ya kufanikisha jambo lolote katika jamii.

 “Tulitegemea mtengeneze jumuiya yenye nguvu badala ya kufanya mchezo wa kumeguka. Umoja siku zote ni nguvu. Ni bora kupambana ndani ya chama kuondoa tofauti zenu kuliko kumeguka na kuunda utitiri wa vyama visivyo na msaada kwa wanachama wake,” alisema Mhe. Chacha.

Kwa upande wao walimu wa mkoa wa Tabora wamefarajika na ujio wa huduma hii tembezi na wanamatumaini makubwa sasa kuwa kero zao nyingi zitakwenda kutatuliwa, ikiwa ni pamoja na mapunjo ya mishahara,madeni ya fedha za uhamisho pamoja na changamoto zingine za kiutumishi.

Kliniki hii tembezi ya msaada wa Samia (Samia Teachers Mobile Clinic) inaratibiwa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Utumishi, Ofisi ya Rais, Tamisemi, Wizara ya Elimu pamoja na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), ikiwa mkoa wa Tabora ni wa 15 kufikiwa na huduma hii nchini.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BODI YA WADHAMINI MFUKO WA MISITU TANZANIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO TABORA.

    May 07, 2025
  • NAIBU WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA.

    May 03, 2025
  • DKT. BITEKO AIPONGEZA TANESCO NA ETDCO KWA JUHUDI ZA KUBORESHA HUDUMA YA UMEME URAMBO

    May 02, 2025
  • SERIKALI IPO KAZINI KUBORESHA HAKI NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI, WAFANYAKAZI NI UTI WA MGONGO WA TAIFA – MHE. SAUDA MTONDOO,

    May 01, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa