• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Wilaya ya Igunga

Wilaya ya Igunga

                                    

Jiografia

Wilaya ya Igunga ipo sehemu ya Kaskazini Mashariki mwa Mkoa wa Tabora. Ina eneo la kilometa za mraba 6,912 sawa na asilimia 11 ya eneo lote la Mkoa wa Tabora na ipo kati ya latitudo 3o51" na 4o48" Kusini na longitudo 33o22" na 30o8" Mashariki. Wilaya inapakana na Wilaya ya Kishapu kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Iramba upande wa Mashariki, Wilaya ya Uyui upande wa Kusini na Wilaya ya Nzega upande wa Magharibi.

Wilaya imegawanyika katika maeneo ya misitu, vichaka, mbuga za malisho na maeneo ya Tambarare. Wilaya ina aina tofauti za udongo na mwinuko wa kati ya mita 1,080 na 1,100 juu ya usawa wa bahari.

Wilaya hii ni miongoni mwa Wilaya kame hapa nchini ikiwa na wastani wa mvua kati ya mm 500 hadi mm 700 kwa mwaka. Hali ya joto huwa kati ya nyuzi joto 20oC – vipindi vya baridi hadi nyuzi joto30oC vipindi vya joto.

Eneo la Kaskazini mwa Wilaya hii lina mwamba ambao hautunzi maji wakati wa kiangazi; hivyo kutokuwepo visima vya maji. Katika eneo hili kuna tatizo kubwa la maji kwa ajili ya matumizi ya watu na mifugo wakati wa kiangazi.

Utawala

Wilaya ina tarafa nne ambazo ni Igunga, Igurubi, Manonga na Simbo; na pia ina kata 26,Vijiji 93 na Vitongoji 637 na mji mdogo wa Igunga.. Aidha Halmashauri ya wilaya ina Madiwani 26 wa kuchaguliwa na Madiwani tisa wa viti maalum. Wilaya ya Igunga ina jimbo moja la uchaguzi.

Idadi ya Watu

Kutokana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, wilaya ina jumla ya watu 399,727 (wanaume 195,607 na wanawake 204,120). Wastani wa ongezeko la watu kwa mwaka ni 2.3%. Idadi ya kaya zote ni 62,427. Wastani wa watu kwa kaya ni 6.4. 

Hali ya Uchumi na Maendeleo ya Wilaya

Uchumi wa Wilaya unategemea zaidi kilimo na ufugaji ambacho kinaajiri takriban asilimia 90 ya wakazi wote wa Wilaya hii. Kutoka katika kilimo mazao ya chakula na biashara huzalishwa. Serikali ya Wilaya husaidiana na Sekta Binafsi katika utoaji wa huduma za kijamii na za kiuchumi ili sekta nyingine ziweze kujiendesha. 

Aidha, mapato ya ufugaji, uvuvi, na shughuli za viwandani ni ajira mbadala zinazochangia katika pato la wakazi wetu. 

SEKTA YA KILIMO

Idadi ya wataalam wa kilimo Wilayani na mgawanyo wao katika vijiji, kata na

Makao makuu ya Wilaya tangu 2008/09.

Wilaya ya Igunga ina wataalam 32 wa Idara ya Kilimo kutoka mwaka 2008 hadi 2012/13. Wataalamu hao wamegawanyika kama inavyoonekana kwenye Jedwali Na. 1 hapa chini.

Jedwali Na. 2 linaonesha utoaji wa huduma za ugani.

Idadi ya wataalam wa kilimo wilayani na mgawanyo wake

Mwaka

Wataalam waliopo Wilayani

Wataalam walioko katani

Kilimo

Umwa-giliaji

Ushirika

Nyenzo (Pikipiki)

Kilimo

Umwa-giliaji
Ushirika
Nyenzo (Pikipiki)
2008/2009
6
2
2
4
13
-
-
8
2009/2010
7
2
2
4
14
-
-
8
2010/2011
5
2
2
5
14
-
-
9
2011/2012
6
2
2
5
20
-
-
9
2012/2013
6
2
2
5
20
-
-
9
2013/2014
8
2
2
4
24
-
-
9

Utoaji wa huduma za ugani wilayani kipindi cha 2008/09 – 2012/13

Mwaka

Aina ya Zao

Idadi ya mashamba darasa

Idadi ya watu

Jinsi

Mafanikio (Tani/Ha)

Me

Ke

Awali

Sasa

2008/2009

Pamba
Mtama

2

2

43

52

30

41

13

11

0.4

0.5

1.0

1.5

2009/2010
Pamba
Mtama
Mahindi

9

6

4

167

161

163

113

110

106

54

51

57

0.5

0.5

0.5

1.2

1.5

2.0

2010/2011
Pamba
Mtama
Alizeti
Mahindi

10

7

8

9

199

177

200

192

107

96

101

102

92

81

99

90

0.5

0.5

0.4

0.5

1.5

1.5

1.0

2.0

2011/2012
Pamba
Mtama
Alizeti
Mahindi

15

8

18

13

357

184

324

273

152

115

189

133

205

69

135

140

0.5

0.5

0.4

0.5

1.5

1.5

1.0

2.0

2012/2013
Pamba
Mtama
Alizeti
Mahindi

18

15

17

17

315

176

378

299

104

93

199

94

201

83

187

207

1.5

1.5

1.0

2.0

1.8

2.0

1.5

2.0

JUMLA
178
3660
1885
1775
 
 

 

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, MKOA WA TABORA December 14, 2022
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • NAMBA ZA MAWASILIANO OFISI YA MKOA TABORA November 23, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • CCM TABORA WARIDHISHWA NA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM YA MWAKA 2020-2025

    March 20, 2023
  • UFUNGUZI WA KIKAO CHA TATHMINI YA MAENDELEO YA MKOA(RCC)

    February 21, 2023
  • UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA MABWAWA YA KUTIBU MAJITAKA

    February 22, 2023
  • KALIUA TABORA

    January 05, 2023
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • Government Portal
  • SALARYSLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa