• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DKT. NAWANDA AWAONYA VIBAKA KATIKA MANISPAA YA TABORA

Posted on: August 2nd, 2021

MKUU wa Wilaya ya Tabora Dkt. Yahya Nawanda amewataka Wazazi kuhakikisha wanawalea watoto wao katika misingi bora ili wasijihusishe na vitendo vya uhalifu ikiwemo wizi na ubakaji.

Alisema hali hiyo itawafanya kuwa na maadii bora na kuwasababishia kujihusisha na shughuli halali za kuwaingizia kipato.

Dkt.Nawanda alitoa kauli hiyo jana wakati wa Mahafali ya saba ya Chuo cha Tabora Polytechnic ambapo wahitimu zaidi 273 walitunikiwa stashahada katika fani za wafanasia, , elimu na malezi ya watoto, uandishi wa habari na utangaaji, utunzaji kumbukumbu, Uongozaji watalii na ukarimu na ukatibu Muhtasi .

“Niwaombe wazazi hao vibaka ni watoto wetu tuendelee kuwakanya na kuwalea katika misingi sahihi…mwisho siku mwisho wa mwizi ni mbaya… na kama umkanyi mtoto wako jamii itakmya itachukua nafasi ambayoutakuja kujitia” alisisitiza.

Aliwataka wazazi kuwaonya watoto wao kuachana na vitendo vya uhalifu vinginevyo watakutana na mkono wa sheria ikiwemo kufikishwa Mahakamani. 

Dkt. Nawanda alisema Serikali ipo kwa ajili ya kulinda raia na mali zao na kama watashindwa kutii malezi ya wazazi wao watakuwa wamejiingiza kwenye mkono wa sheria.

Aidha aliwataka wazazi kuendelea katika uwekezaji katika elimu ya watoto wao ili hatimaye waweze kuwa wananchi wazuri ambao watashiriki katika ujenzi wa Taifa.

Dkt. Nawanda alisema uwekezaji wa elimu kwa watoto wao utasaidia kuwaondoa katika uhalifu na kufikiria zaidi katika shuighuli halali za maendeleo.

Alisema wataimarisha doria za usiku katika maeneo yote na Wilaya ya Tabora na kutengeza Polisi Jamii kwa lengo la kuwahakikishia wakazi wa Wilaya hiyo usalama wao na mali zao.

Dkt. Nawanda alisema tatizo la uhalifu litakomesha ili wananchi waweze kufanya shughuli zao halali bila hofu yoyote.

Awali Mkurugenzi wa Chuo hicho Shabani Mrutu alimeiomba Mkuu wa Wilaya kuwasaidia kukabiliana na tatizo la wizi na ukabaji unaofanywa na baadhi ya vijana wasio waadilifu katika eneo hilo nyakati za usiku.Alisema tatizo hilo limekuwa likisbabisha usumbufu kwa jumuiya ya wanachuo na watumishi kwa ujumla

Alisema changamoto nyingine inayokikabili chuo hicho ubovu wa kipande cha barabara kutoka barabara kuu kuelekea Chuoni.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa