• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KATIBU MAHENDEKA “TUMIENI SHERI NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA”

Posted on: February 26th, 2024

Katibu Mkuu Ikulu, Ndugu. Maluli Mahendeka amewataka watumishi wa umma wa kanda ya magharibi inayohusisha mikoa ya Tabora, Katavi na Kigoma kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Ameyasema hayo leo februari 26, 2024, akifungua mafunzo kwa baadhi ya watumishi wa umma wa mikoa ya kanda ya magharibi kuhusu sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia utumishi wa umma yaliofanyika katika Ukumbi wa Isike Mwanakiyungi, Manispaa ya Tabora.

 

Katibu Mahendeka amesema kuwa “kuna ulazima wa kuzingatia sheria katika kutekeleza majukumu yenu ya kila siku kwa kuzingatia maadili, kujituma na kuwaheshimu na kuwathamini wateja wote mnaopaswa kuwahudumia”, alisema Katibu Mahendka

 

Ndugu. Mahendeka amesema kuwa, mafunzo haya yana manufaa mengi kwa mtumishi wa umma yakiwemo kuongeza uelewa katika utendaji wa kazi, kuongeza hali ya kujiamini katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku sambamba na  kuondosha hali ya kufanya kazi kwa mazoea, na kutoa wito kwa watumishi hao kuyatumia mafunzo hayo katika kukamilisha malengo na faida za mafunzo hayo.

 

Aidha Katibu Mahendeka amewakumbusha watumishi wa umma kujua haki na wajibu ili kurahisisha upatikanaji wa ufumbuzi wa matatizo , malalamiko , kero na changamoto za wananchi ambao wanategemea huduma kutoka kwa watumishi hao.

 

Naye. Katibu Tawala Mkoa wa Tabora. Dkt. John Mboya ameishukuru serikali kwa kutoa mafunzo hayo kwa watumishi wa umma ambayo yamekuwa na tija katika kukuza weledi na uwajibikaji katika ofisi za umma.

 

Mafunzo kwa baadhi ya watumishi wa umma wa mikoa ya kanda ya magharibi kuhusu sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia utumishi wa umma yanatarajiwa kufanyika kwa muda wa siku tano.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa