• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KATIBU MKUU MAJI AISISITIZA MATUMIZI YA MFUMO JUMUISHI WA KUSIMAMIA ANKARA ZA MAJI

Posted on: June 14th, 2021


KATIBU MKUU MAJI AISISITIZA MATUMIZI YA MFUMO  JUMUISHI WA KUSIMAMIA ANKARA ZA MAJI

KATIBU Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Anthony Sanga amewataka wataalamu wa Teknolojia ya habari na Mawasiliano(TEHAMA) kuhakikakisha Mfumo  Jumuishi wa Kusimamia Ankara za Maji kwa Mamlaka za Maji nchini uwe unapatikana masaa 24 kwa siku zote.

Alisema mfumo mpya wa pamoja wa utoaji Ankara za Maji umeonesha manufaa kwa Mamlaka ambazo zimeanza kuutumia kutokana na kuondoa changamoto nyingi ikiwemo gharama na usalama wa taarifa za wateja.

Mhandisi Sanga alitoa kauli hiyo ana wakati wa kufunga mafunzo yaliyolenga kutoa uelewa wa pamoja juu ya kusimamia huduma za ankara za wateja wa Maji yaliyofanyika mjini  Tabora .

Alisema mfumo huu ni wa uhakika na salama kwa kuwa  umetengenezwa na wataalamu wa ndani Mamlaka ya Serikali Mtandao na unakidhi mahitaji ya serikali kwa sasa.

“Mifumo mingine iliyopo kwenye Mamlaka za Maji nchini sehemu kubwa inamilikiwa na watu wa nje na ilikuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wateja …hii ni hatari na tena inagharama na wakati mwingine ukichelewa kuhuisha leseni yako anaweza ku block uziweze kufanya kazi zao”alisema

Alisema kufuataia hali hiyo Wizara na Sekta ya Maji  kwa kushirikiana  na e GA wameamua kutengeneza Mfumo  Jumuishi wa Kusimamia Ankara za Maji ili kuepukana na changamoto mbalimbali zinazoweza kusababu huduma isiyobora kwa wananchi.

Mhandisi Sanga alisema lazima kuweo na mpango wa kunusuru mfumo huo pindi kunapotokea majnga ili kutoathiri makusanyo ya fedha na kuwasababishia wananchi kukosa huduma na kuleta kero.

Awali Mratibu wa mafunzo Mhandisi Masoud Almas alisema mafunzo hayo yalilenga kuhakikisha Mamlaka zote nchini zinaanza kutumia Mfumo  Jumuishi wa Kusimamia Ankara za Maji na kuondokana na mifumo ya wakandarasi binafsi.

Alisema hadi hivi sasa Mfumo huo unatumiwa na Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira 46 kati ya 95 ikiwa ni sawa na asilimia 48.

Alisema lengo ni kuhakikisha Mamlaka zote zinapewa mafunzo ya kutumia mfumo ili hatimaye utumike nchi nzima.

Alizita faida za mfumo huo kwamba taarifa zote za mteja zinaweza kupatikana kwa nia ya mtandao  , kupitia kompyuta au simu yake ya mkononi na mteja anaweza kununua maji kupitia Simu ya mkononi.

Mwisho


 













Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa