• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KIKAO CHA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA KILIMO MKOANI TABORA

Posted on: November 1st, 2023



Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Lois Peter Bura amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian kwenye Kikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora. Novemba 1, 2023.

Kwa Mkoa wa Tabora mradi huu mpaka kukamilika kwake  kutagharimu fedha za kitanzania Shilingi Bilioni 19.48 fedha hizo ni mkopo kutoka Benki ya Dunia. Malengo ya mradi huu ni kuwaandaa Wataalamu wa kutosha wenye ujuzi wa hali ya juu kupitia Sekta Kilimo na biashara ili kuchagiza maendeleo ya jamii na taifa.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha, na Utawala Profesa Msafiri Jackson ambaye pia ni Mratibu wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi akitoa ufafanuzi wa kina kwa wajumbe waliohudhuria kwenye Kikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora. Novemba 1, 2023

Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Taaluma, Tafiti, na Ushauri, Profesa Agnes Mwakaje akitoa ufafanuzi wa kina kwa wajumbe waliohudhuria kwenye Kikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora. Novemba 1, 2023

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora Ndugu Hassan Wakasuvi, Mjumbe wa Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kupitia Mkoa wa Tabora.Ndugu. Mohamed Nassoro  Hamdan akitoa salamu za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye Kikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora. Novemba 1, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Dkt. John Mboya akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Lois Peter Bura ambaye alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian kwenye Kikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora. Novemba 1, 2023

Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian, Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Lois Peter Bura akitoa hotuba ya ufunguzi wa ikao maalumu cha kujadili mipango na mikakati ya mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora.Novemba 1, 2023.

Picha  ikionesha miundombinu itakavyokuwa kwenye mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora.

Ramani ikionesha namna mradi Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) unaotarajiwa kutekelezwa hapa Mkoani Tabora.




Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa