• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MAKAMU WA RAIS AIPONGEZA KALIUA KWA KUTUMIA MAPATO YAKE YA NDANI KUPEKA HUDUMA KWA WANANCHI

Posted on: February 25th, 2019

MAKAMU WA RAIS AIPONGEZA KALIUA KWA KUTUMIA MAPATO YAKE YA NDANI KUPEKA HUDUMA KWA WANANCHI

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kwa kutumia mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa muindo mbinu ya afya katika Hospitali na Kituo cha Afya cha Kaliua.

Hatua hiyo itasaidia  kusogeza huduma za afya ikiwemo za upasuaji wa mama wajazito na za mama na mtoto karibu na kuwaepusha wananchi kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma hizo katika Wilaya ya Urambo.

Makamu wa Rais alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa hadhara katika  uwanja wa Kolimba wilayani Kaliua ikiwa ni siku nne ya ziara yake mkoani Tabora .

Alisema kitendo cha Halmashauri hiyo cha kutenga sehemu ya mapato yake ya ndani kujenga jengo la upasuaji kwenye Kituo cha Afya Kaliua na ununuzi wa vifaa kwa gharama za shilingi milioni 159 na kile cha ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya kwa gharama ya milioni 352 ni mfano mzuri ambao unakusudia kusogeza huduma karibu na wananchi.

Makamu wa Rais alizitaka Halmashauri nyingine nazo kutumia sehemu ya mapato yake ya ndani kuboresha huduma za jamii ikiwemo maji , afya , elimu na barabara ili kuwafanya wananchi kuwa na mazingira mazuri katika uzalishaji.

Naye Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) aliziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha asilimia 60 ya mapato yake ya ndani yanaelekezwa katika shughuli za kujenga miradi ya maendeleo ikiwemo elimu , afya na asilimia 40 ndio itumike katika matumizi mengine.

Alisema Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua imefanya vizuri na kuongeza kuwa ni lazima Halmashauri zote zihakikishe zinatekeleza agizo hilo na zitakazokutwa hazitekelezi watendaji wake watachukuliwa hatua.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Dkt. John Pima alisema katika mwaka huu wa fedha tayari wametoa mikopo ya shilingi milioni 207 kwa vikundi 61 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake.

Alisema hadi kufika mwisho wa mwaka wanaweza kutoa mikopo kwa vikundi vingi.

mwisho

 

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa