• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA KUJENGA KATIKATI YA NDALA NA PUGE

Posted on: May 21st, 2020

MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA KUJENGA KATIKATI YA NDALA NA PUGE

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega limependekeza eneo  la kujenga  makao Makuu yake ambapo liwe katikati ya Kata ya Ndala na Puge. 

Hatua hiyo imefikiwa  katika kikao cha kawaida cha   Robo ya pili cha Baraza la Madiwani baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Selemani Sikiete kuwalisha mapendekezo ya wataalamu. 

Alisema katika kikao chao walipendekeza Makao Makuu ya Halmashauri yawe Ndala kutokana na eneo hilo kuwa tayari limeshapimwa na kuingizwa katika ramani tayari kwa ujenzi wa Taasisi ikiwemo za Halmashauri. 

Sikiete alisema kigezo kingine ni uwepo wa mkongo wa Taifa wa mawasiliano katika eneo hilo ambao unarahisisha shughuli za kimfumo kwa Watendaji na kuongeza kuwa baadhi ya watumishi wameshalipwa fedha za uhamisho kutoka Nzega Mjini kwenda Ndala. 

Aliongeza kuwa ujenzi wa makao Makuu ya Halmashauri hiyo mbali na eneo la Ndala utaigharimu fedha nyingi kwa ajili ya kuweka miundo mbinu ya mawasiliano , utayarishaji wa eneo na kulipa tena watumishi stahiki zao za uhamisho. 

Baada ya mawasilisho hayo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Kiwele Bundala aliwahoji Madiwani juu ya pendekezo la Wataalamu ambapo kati ya wote 48 waliunga mkono na mmoja kupinga huko wakipendekeza maboresho. 

Diwani wa Kata ya Semembela Fudulu Baya alisema ni vema eneo ambalo itajengwa Ofisi ya Halmashauri ikiwa katikati ya Kata ya Ndala na Puge ili kuwarahisishia wananchi wa Kata nyingine kufika kirahisi kwa ajili ya kuhudumiwa. 

Alisema eneo hilo ni vema likawa karibu na barabara ili wananchi wanaposhuka katika vyombo vya usafiri wasitumie gharama nyingine kuelekea katika Ofisi za Halmashauri.

 

Mwisho

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa