• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MATUKIO KATIKA PICHA: RC TABORA AKABIDHI ZAWA YA MHE. RAIS KWA YATIMA NA WATOTO WALIOZALIWA JANUARI 1

Posted on: January 1st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiwasili katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete iliyopo Manispaa ya Tabora, kwa ajili ya kukabidhi zawadi ya  Krismass na Mwaka Mpya kutoka kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa watoto waliozaliwa usiku wa kuamkia leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akipata taarifa na maelezo kwa ufupi kuhusiana na watoto waliozaliwa usiku wa kuamkia leo mara baada ya kuwasili Hospitalini hapo kwa ajili ya kukabidhi zawadi ya  Krisimass na Mwaka Mpya kutoka kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa watoto waliozaliwa usiku wa kuamkia leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiongea na baadhi ya wakina mama waliojifungua usiku wa kuamkia Leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akimbeba mmoja kati ya watoto Ishirini na tatu (23) waliozaliwa usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete, Januari 1, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akikabidhi zawadi ya Krissmas na Mwaka Mpya kwa wakina mama waliojifungua usiku wa kuamkia leo, mara  kuwasili katika hospitali ya Rufaa ya Kitete, Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiagana na baadhi ya viongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kitete mara baada ya zoezi la kutoa zawadi ya Krissmas na Mwaka Mpya kwa watoto waliozaliwa usiku wa kumkia leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiwasili katika kituo cha kulelea watoto Yatima na wasiojiweza Igambilo kilichopo Kata ya Misha kwa ajili ya kukabidhi zawadi ya  Krisimass na Mwaka Mpya kutoka kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kwa watoto yatima na wasiojiweza leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akipata taarifa na maelezo mafupi kuhusiana na kituo cha kulelea watoto Yatima na wasiojiweza Igambilo mara baada ya kuwasili kituoni hapo  kwa ajili ya kukabidhi zawadi ya  Krisimass na Mwaka Mpya kutoka kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa watoto yatima na wasiojiweza leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiongea na kutoa salamu za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa watoto Yatima na wasiojiweza waliopo katika kituo cha Igombelo, kabla ya kukabidhi zawadi ya Krismass na Mwaka Mpya kwa watoto hao leo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akikabidhi zawadi ya Krismass na Mwaka Mpya kwa watoto Yatima na Wasiojiweza waliopo katika kituo cha Igombelo, zawadi kutoka kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Januari 1, 2024.

Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima na Wasiojiweza Ndugu. Halima Malaswai akitoa neno la Shukrani kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian kukabidhi zawad ya Krismass na Mwaka Mpya kituoni hapo Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiwa na watoto Yatima na Wasiojiweza wakiliombea taifa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya zoezi la kukabidhi zawadi ya Krismass na Mwaka Mpya kukamilika, Januari 1, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian akiagana na baadhi ya viongozi wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Igombelo mara baada ya zoezi la kukabidhi zawadi ya Krismass na Mwaka Mpya kumalizika leo Januari 1, 2024.




Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa