Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian ameshiriki katika hafla ya uzinduzi wa ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi iliyofanyika katika Ofisi za TUWASA, Manispaa ya Tabora, Disemba 2, 2023.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akiwasili kwenye ofisi za TUWASA zilizopo Manispaa ya Tabora kwa ajili ya kushiriki kwenye hafla ya uzinduzi wa ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023
Baadhi ya wananchi na wadau wa Bima wameshiriki kwenye hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Meneja wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Kanda ya Magharibi Dkt. Emmanuel Lupilya akifanya zoezi la utambulisho kwa wageni waliohudhuria kwenye hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Kamishina wa Bima Dkt. Baghayo Saqware akitoa ufafanuzi wa kina kuhusiana na masuala ya Bima na majukumu ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian kutoa hotuba yake kwenye hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akihutubia mamia ya wananchi waliohudburia hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Baadhi ya wananchi na wadau wa Bima wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian aliyoitoa kwenye hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akikata utepe kuashiria kuwa, zoezi la uzinduzi wa ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi umekamilika, Disemba 2, 2023.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akiwa kwenye picha ya pamoja na watendaji kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima mara baada ya zoezi la uzinduzi wa ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi kukamilika, Disemba 2, 2023.
Naibu Kamishina wa Bima Bi Khadija Said akitoa neno la shukrani mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian kuhutubia mamia ya wananchi waliohudhuria kwenye hafla ya uzinduzi ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Magharibi, Disemba 2, 2023.
Tabora
S.L.P: 25 Tabora
Simu: 026 2604058
Mobile:
Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz
Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa