• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MATUKIO KATIKA PICHA: MHE. BATILDA ATEMBELEA OFISI ZA JIMBO KUU KATOLIKI TABORA

Posted on: November 18th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akiwasili katika makao makuu ya Jimbo Kuu Katoliki Tabora kwa ajili ya kukutana na Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu, Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu  Katoliki la Tabora na Askofu Angelo Accattino, Balozi wa Vatcan nchini Tanzania , Novemba 18, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akisalimiana na Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu na Askofu Angelo Accattino, Balozi wa Vatcan nchini Tanzania mara baada ya kuwasili Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Novemba 18, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Novemba 18, 2023.

Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu  Katoliki la Tabora akifanya zoezi la utambulisho wa wageni mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian kuwasili Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Novemba 18, 2023.


Kwa niaba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akitoa salamu za Serikali kwa Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu, Novemba 18, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akikabidhi zawadi ya mishumaa Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu, Novemba 18, 2023.

Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu akifurahia zawadi ya mishumaa na kikapu kilichotengenzwa Mkoani Tabora, Novemba 18, 2023.

Ameonekana kuvutiwa na kuipenda zawadi hiyo ya Kikapu kutoka Tabora na kuhaidi kwenda kumpatia mama yake mzazi kama ishara ya kukubali na kufurahishwa na ubunifu huo.

Pia,  Mwadhama Antonio Kardinali Tagle amevutiwa na mkakati wa Serikali ya Tanzania kuhamasisha utalii wa Ndani na shughuli za ufugaji wa nyuki Mkoani Tabora.

Mwadhama Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu na Askofu Angelo Accattino, Balozi wa Vatcan nchini Tanzania  wakifurahia mara baada ya kusoma kitabu kwa lugha ya kiswahili. Wageni hao wameonekana kuvutiwa sana na lugha ya kiswahili kwa kijifunza maneno machache, Novemba 18, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akielezea kwa ufupi Mkoa wa Tabora hususani miradi ya maendeleo ambayo imetekelezwa na inayoendelea kutekelezwa hususani mradi mkubwa wa Reli ya Kisasa SGR, kutoka Dar Es Salaam mpaka Tabora, na Kutoka Tabora mpaka Kigoma na  Mwanza. Ambapo Wageni hao wameonesha kuvutiwa sana na kasi ya maendeleo nchini Tanzania.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akiwa kwenye picha ya pamoja na Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu, Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu  Katoliki la Tabora na Askofu Angelo Accattino, Balozi wa Vatcan nchini Tanzania, mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo mafupi katika ofisi za Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Novemba 18, 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akiagana na Antonio Kardinali Tagle, Mkuu wa Idara ya Uinjilishaji wa Watu mara baada ya kutana na kufanya mazungumzo mafupi katika ofisi za Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Novemba 18, 2023.


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa