• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MHE. KAMANI ATATUA KERO ZA WAFUGAJI MKOA WA TABORA, AAGIZA WATAALAM KUSHUKA UWANDANI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Posted on: January 8th, 2026

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Wakili Ng’wasi Kamani, amefanya ziara ya kikazi mkoani Tabora akitembelea wilaya za Nzega na Igunga kwa lengo la kukagua utekelezaji wa shughuli za sekta ya mifugo na kusikiliza kero pamoja na changamoto zinazowakabili wafugaji ili kuboresha ustawi wa sekta hiyo.


Akiwa wilayani Nzega, Mhe. Kamani alitembelea mnada wa mifugo uliopo Kata ya Ndala, ambako alikutana na wafugaji na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana. Wafugaji waliwasilisha changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mbegu bora za mifugo, uhaba wa maeneo ya malisho, miundombinu duni ya barabara katika eneo la mnada, ugumu wa kupata mikopo pamoja na kukosekana kwa uzio wa kuimarisha usalama wa mnada.


Akizungumza na wafugaji hao, Mhe. Kamani aliwasisitiza kuzingatia taratibu na kanuni za uendeshaji wa masoko ya mifugo, akieleza kuwa taratibu hizo zimewekwa kwa lengo la kuhakikisha uwazi, usimamizi mzuri na ufuatiliaji wa biashara ya mifugo ili kuwalinda wafugaji na wanunuzi kwa ujumla.


Akijibu changamoto zilizowasilishwa, Naibu Waziri alisema Serikali tayari imechukua hatua za makusudi za kuzalisha na kusambaza mbegu bora za mifugo ili kuongeza tija, kuboresha uzalishaji na kuinua uchumi wa wafugaji kupitia upatikanaji wa mifugo bora yenye thamani ya kibiashara.


Akihitimisha ziara yake, Mhe. Kamani aliwaelekeza wataalam wa sekta ya mifugo kuacha kufanya kazi kwa kusubiri wateja ofisini na badala yake kushuka uwandani kuwafuata wafugaji katika maeneo yao. Alisisitiza umuhimu wa kutoa elimu ya ufugaji bora, matumizi ya mbegu bora za mifugo na malisho, pamoja na kuhamasisha utekelezaji wa maboresho yanayoendelea kufanywa na Serikali katika sekta ya mifugo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI - TANZANIA WAHITIMISHA ZIARA YAO MKOANI TABORA KWA KUTEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI SIKONGE

    January 17, 2026
  • WASHIRIKI WA KOZI YA 14 CHUO CHA ULINZI WA TAIFA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO MKOANI TABORA

    January 15, 2026
  • MZAZI / MLEZI! SHULE ZIMEFUNGULIWA LEO! MPELEKE MTOTO SHULE. ELIMU NI BURE!.

    January 13, 2026
  • MHE. KAMANI ATATUA KERO ZA WAFUGAJI MKOA WA TABORA, AAGIZA WATAALAM KUSHUKA UWANDANI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    January 08, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa