• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MWL. RWEYEMAMU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI SIKONGE, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUFANYA TATHMINI YA MATOKEO YA KITAIFA YA MWAKA 2025.

Posted on: January 23rd, 2026

Afisa Elimu Mkoa wa Tabora, Mwl. Upendo Rweyemamu, amefanya ziara ya ufuatiliaji wilayani Sikonge kwa lengo la kukagua hali ya utekelezaji wa shughuli za elimu na kuimarisha utendaji kazi katika ngazi mbalimbali za ufundishaji na ujifunzaji. Katika ziara hiyo, alikutana na Maafisa Elimu wa msingi na sekondari pamoja na wasaidizi wao, Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule za Sekondari, Walimu Wakuu wa shule za msingi pamoja na walimu wote wa ngazi hizo, ambapo alisisitiza umuhimu wa mshikamano na uwajibikaji katika kuboresha taaluma Sikonge.

Kupitia vikao hivyo, Mwl. Rweyemamu alipata fursa ya kusikiliza kero na changamoto zinazowakabili walimu, pamoja na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya elimu inayoendelea wilayani humo. Aidha, aliwahamasisha walimu na watendaji wa elimu kufanya kazi kwa bidii na kwa kuzingatia malengo yanayolenga matokeo makubwa na yenye tija kwa wanafunzi na jamii nzima kwa ujumla.

Ziara hiyo iliyokamilika kwa kutembelea tarafa za Sikonge na Kiwere,ilihusisha ufanyaji wa  tathmini ya matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya mwaka 2025, ikiwemo Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, Mtihani wa upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili, ambapo Afisa Elimu huyo alisisitiza matumizi ya takwimu hizo kama chombo cha kupanga mikakati ya kuboresha ufaulu. Alibainisha kuwa tathmini ya kina na usimamizi thabiti wa ufundishaji ni nguzo muhimu katika kufikia elimu bora na endelevu kwa Mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWL. RWEYEMAMU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI SIKONGE, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUFANYA TATHMINI YA MATOKEO YA KITAIFA YA MWAKA 2025.

    January 23, 2026
  • WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI - TANZANIA WAHITIMISHA ZIARA YAO MKOANI TABORA KWA KUTEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI SIKONGE

    January 17, 2026
  • WASHIRIKI WA KOZI YA 14 CHUO CHA ULINZI WA TAIFA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO MKOANI TABORA

    January 15, 2026
  • MZAZI / MLEZI! SHULE ZIMEFUNGULIWA LEO! MPELEKE MTOTO SHULE. ELIMU NI BURE!.

    January 13, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa