• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

NAIBU WAZIRI WA UTALII ATOA UTARATIBU KWA WAVAMIZI WA HIFADHI YA ISAWIMA KUONDOA MAZAO YAO

Posted on: April 15th, 2021

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja ameutaka uongozi wa Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori(Tawa)  kusimamia zoezi la wavamizi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Isawima iliyopo wilayani Kaliua wanaondoa mazao yao ambayo yamekomaa.

 

Hatua hiyo inalenga kuhakikisha Mamlaka ya usimamizi wa wanyama pori Tawa inaendesha shughuli zake za uhifadhi wa mazingira na wanyapori bila kikwazo chochote.

 

Naibu Waziri huyo alitoa kauli hiyo jana katika kijiji cha Wachawaseme kilichopo eneo la Isawima wilayani kaliua mkoani Tabora alipokuwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara .

 

Alisema kwamba uhifadhi ni muhimu na wenye manufaa makubwa ya taifa na wananchi kwa sasa na vizazi kijacho na hivyo Serikali haiwezi kuacha watu wavamiea na kuharibu maeneo hayo.

 

Mary alisema kwamba kutokana uamuzi huo wa wakulima walivamia eneo hilo wanatakiwa kuondoa mazao yao kwa utaraibu maalumu utakaopangwa na Serikali kupitia vibali ambavyo vitabainisha nini mkulima alichonacho kwenye hifadhi hiyo ili kuweza kutambua nani ni nani anaingia kenye hifadhi muda husika .

 

Alisema serikali haiwezi kuona watu wanavamia hifadhi zilizohifadhi kisheria na kuharibu miundombinu yake kwa sababu ya maslahi ya watu  wachache na kuharibu manufaa ya watu wengi nchini.

Aidha Naibu Waziri  wa Maliasili na Utalii ameingiza serikali ya mkoa na Tawa kuhakikisha kuwa  watakapokamilisha zoezi la kuondoa mazao yao kwenye hifadhi hakuna mtu yoyote anayeingia ndani ya hifadhi kwa ajili ya shughuli zozote ya kibinadamu zinakinzana na uhifadhi.

 

Alisema kwa kufanya hivyo kutasaidia hifadhi hiyo kuendelezwa  kwa mshoroba wa wanayama na maji kuendelea kutirika hadi ziwa Tanganyika kwa asilimi 30.

 

Hata hivyo aliahidi kutuma wataalum wa kupima  mipaka kwa ajili ya kuelimisha wananchi wa vijiji 11 vilivyomo kwenye eneo la Isawima ili kutambua mikapa yote ya kila kijiji na mwisho wa eneo ambalo wananchi hawapaswi kuingia wala kufanya shughuli za kibinadamu.

 

Awali Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Kamati ya Ardhi na maliasilia na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la kaliua Aloyce Kwezi alimweleza Naibu waziri huyo kwamba wananchi wa eneo la Isawima ambalo eneo lake kubwa ni Hifadhi wanaomba kutambua mikapa yake eneo lao .

 

Alisema kwamba kutokutambua mipika hiyo kumesababisha baadhi wa wananchi kuingia eneo la hifadhi na kufanya shughuli za kibinadamu.

 

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati alisema uongozi wa Mkoa hauwezi kuona watu wachache wanatumia fedha zo na kuingia katika eneo hilo kwa ajili ya kuendesha shughuli za kibindamu.

 

Alisema eneo hilo ni muhimu kuhifadhiwa kwa kuwa ni chujio la maji yanayoelekea Ziwa Tanganyika na ni mazalia ya Nzige wekundu.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa