• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC AAGIZA KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI WA MAPATO AMBAO HAWAJAPELEKA FEDHA BENKI KWA WAKATI

Posted on: December 10th, 2020

MKUU wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati ameagiza kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa mujibu wa Sheria Watumishi wote waliopewa mashine za kukusanyia mapato (POS) ambao hadi hivi sasa wanadaiwa mapato waliyokusanya kwa kutowasilisha Benki.

Hatua hiyo itasaidia kuondoa na kuepuka dosari ya upotevu wa mapato ya Halmashauri ambayo inasababisha kuibuka Hoja za kiukaguzi kila mara.

Dkt. Sengati alisema hayo  wakati akizundua Baraza jipya la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.

Alisema Sheria ya fedha za umma inawataka Watumishi waliopewa mashine za kukusanyia mapato kuwasilisha fedha walizokusanya ndani ya saa 24 na sio vinginevyo.

Dkt.Sengati aliongeza kuwa ni marufuku kwa Wakurugenzi kuwaruhusu Wakusanyaji mapato kutoa asilimia yao(commission) kabla ya kuwalisha mapato Benki.

Alisema matumizi yoyote ya fedha kabla ya kuziwasilisha Benki ni kinyume na taratibu kwa kuwa Halmashauri husika haiwezi kutoa taarifa sahihi za makusanyo kimfumo.

“Naagiza kuanzia sasa ni marufuku kufanya matumizi ya fedha zilizokusanywa na Halmashauri kabla hazijapelekwa Benki” alisisitiza.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa aliwataka Madiwani kwa kushirikiana na Watendaji kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya kuiwezesha Halmashauri ya Urambo kuongeza mapato yake yatakayowawesha kujiendesha bila kutegemea ruzuku ya Serikali.

Alisema ni vema wakaanzia mashamba makubwa ya mazao mbadala na yale ya kimkakati kama vile mikorosho na miembe ili kuwavutia wawekezaji katika sekta ya usindikaji wa matunda.

Katika Baraza hilo limemchagua kwa asilimia 100, Adamu Malunkwi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Urambo

Dkt. Sengati alisema hatua hiyo sio tu itaongeza mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Urambo bali itaongeza fursa za ajira kwa vijana.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa