• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI KUSIMAMIA VEMA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: August 25th, 2020


RC AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI KUSIMAMIA VEMA UKUSANYAJI WA MAPATO

MAMLAKA za Maji na Jumuiya za Watumiaji Maji(COWSO) Mkoani Tabora zimetakiwa kuhakikisha zinasimamia ukusanyaji wa mapato yanayotokana na uuzaji maji ili miradi hiyo iwe endelevu.

Agizo hilo limetolewa  na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Philemon Sengati Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt Philemon Sengati wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kutoka maji ziwa Victoria kwenda Mkoani humo.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa alisema miradi yote inayotokana na uwepo mradi wa maji ya ziwa Victoria ni lazima iendelee kuhakikisha mitando ya maji ya bomba inasambazwa kwa  wananchi ambao wako katika eneo la mradi nab ado hajawafikiwa na huduma hiyo.

“Lazima muendelee kupanua zaidi mtandao wa maji kwa kujenga mitandao ya bomba , matanki mengi na kuweka magati mengi ili wananchi waweze kuendelea kufaidi matunda ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wa kuondolea adha ya upatikanaji wa maji” alisema

Dkt. Sengati aliongeza Mamlaka za Maji  kwa kushirikiana na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA) zinatakiwa kuendelea kuzijengea uwezo Jumuiya za watumiaji maji ili ziwe kutoa huduma nzuri kwa wananchi wengi.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amezitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Tabora kuwa na mpango wa wateja wenye kipato cha chini kulipa kwa awamu gharama za kuunganishiwa mtandao wa maji ili nao waweze kunufaika na huduma ya maji kutoka ziwa Victoria.

Alisema hatua hiyo itatimiza malengo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ya kutaka watu wengi wapate huduma ya majisafi na salama karibu na wanapoishi.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa wa Tabora Dkt. Sengati amezitaka Mamlaka hizo kuwa na utamaduni wa kuagiza vifaa kwa wingi vya kuunganisha mtandao wa maji moja kwa moja kutoka viwandani.

Alisema hatua hiyo itasaidia kupunguza gharama za kuwaunganishia maji wananchi wanazotozwa wakati  wanapoomba huduma hiyo.

Dkt.Sengati alisema lengo la Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha maji yanawafikia wananchi wengi popote walipo ili wawaze kushiriki katika shughuli za maendeleo.

“Wananchi wakipata majisafi na salama watakuwa na afya bora ambayo itawaweza kutumia muda ambao walikuwa wakiutumia kutafuta maji na kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo” alisisitiza.

Alisema kitendo cha upatikanaji wa majisafi na salama kwa wingi kaika maeneo yao kitachochea ukuaji wa uchumi na kuwawezesha kuwekeza katika shughuli mbalimbali na kuwavutia wawekezaji kutoka nje.

 

Mkuu huyo wa Mkoa wa Tabora anaendelea na ziara ya kujitambulisha kwa wananchi na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo


 

Mwisho




Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa