• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA AAGIZA KUUNDA KAMATI YA KUCHUNGUZA MGOGORO KATIKA MRADI WA UMWAGILIAJI WA INALA KATIKA MANISPAA YA TABORA

Posted on: September 2nd, 2020


RC TABORA AAGIZA KUUNDA KAMATI YA KUCHUNGUZA MGOGORO KATIKA MRADI WA UMWAGILIAJI WA INALA KATIKA MANISPAA YA TABORA

MKUU wa Tabora Dkt. Philemon Sengati amemwagiza Katibu Tawala Mkoa kuundwa kwa Kamati ya kuchunguza mgogoro unaoendelea kwenye mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika bwawa la Inala lilipo Manispaa ya Tabora ambao umekuwa ukitishia amani.

Alitoa agizo hilo  mjini Tabora baada ya kutembelea mradi huo kwa lengo la kusikiliza kero ya wakulima wa eneo hilo ili kuzitafutia ufumbuzi.

Dkt. Sengati alisema Serikali imewekeza zaidi ya shilingi bilioni 1 katika mradi huo wa mwagiliaji wa Inala kwa lengo la kutaka kuondoa upungufu wa chakula katika Manispaa ya Tabora badala yake kumekuwepo kwa migogoro ambayo inakwamisha uzalishaji.

Alisema migogoro hiyo imesababishwa na baadhi ya watu wachache wakiwemo viongozi ambao wameweka maslahi binafsi kwa kutaa maeneo ya wananchi.

Dkt. Sengati alisema uongozi wa Mkoa hauwezi kuona kuwa mradi huo wa kimkati ufie mikononi mwao bila kuchukua hatu.

Alisema Kamati hiyo inatakiwa ichunguze kiini cha mgogoro na kutoa mapendekezo ya kuumaliza ndani ya siku saba ili wakulima wa eneo hilo waendelee kufanya kazi zao kwa amani kwa ajili ya kuzalisha mazao mengi ili kuwa na uhakika wa usalama wa chakula.

Dkt. Sengati alisema Kamati hiyo inatakiwa kuwa na wanasheria kutoka Ofisi yake, Watalaamu kutoka Umwagiliaji na wabobezi wengi ambao watasaidia kutoa mwelekeo kwa kumaliza mgogoro huo.

Aliongeza kamati hiyo ni lazima ifanyie uchunguzi wa maeneo ya wananchi yaliyochukuliwa bila kufuata utaratibu ikiwemo yale ambayo Baraza la Madiwani lililoagiza yachukuliwe bila kuwahusisha wahusika.

Aidha Mkuu wa Mkoa aliwataka viongozi waliopewa jukumu la kuendesha mradi huo kusimamia haki na kuwawezesha wakulima wa eneo hilo kuzalisha kwa wingi.

Alisema Serikali haitasita kuwachukulia hatua watumishi na viongozi ambao wamechukua maeneo ya wakulima hao bila kufuata utaratibu unaongoza mradi kwa lengo la kuwanyanyasa wakulima.

MWISHO


















Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa