• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA AKAGUA MRADI UMWAGILIAJI WA MWAMAPULI NA KUAGIZA KUONDOLEWA KWA WAVAMIZI KATIKA CHANZO CHA MAJI

Posted on: August 18th, 2021

NA TIGANYA VINCENT

MKUU  wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt.Batilda Buriani ameagiza Uongozi wa Wilaya ya Igunga kuwandoa wavamizi wa  chanzo cha maji katika  Bwawa la Mwamapuli liliko katika Kijiji cha Mwanzugi Wilayani Igunga

Alisema wavamizi hao wanaendesha shughuli za kilimo ambacho kinasababisha mchanga  kuelekea katika Bwawa hilo na kutishia uendelevu wake.

Balozi Dkt. Batilda alitoa kauli hiyo jana mjini Igunga wakati wa ukaguzi wa  mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji wa mpunga katika Bwawa la Mwmapuli.

Alisema kuwa Bwawa hilo ni muhimu kwa uzalishaji wa zao la mpunga kwa Mkoa wa Tabora , matumizi ya maji na viumbe kama vile samaki.

Balozi Dkt.Batilda alisema kutokana na kilimo katika chanzo kimesababisha mchanga kipindi cha masika kuelekea katika Bwawa hilo na kupunuza kina cha maji.

Awali Mwenyekiti wa Ushirika wa Wakulima wa Mpunga wa Mwamwapuli(Mwanzugi) Ramdhani Muna alimuomba Mkuu wa Mkoa kutumia vyombo vya dola kuwaondoa wavamizi katika eneo la Nguvu moja kwa sababu wanasababisha kina cha maji kupungua kwa kusababisha  mchanga kuingia katika Bwawa .

Alisema sanjari hilo amemuomba Mkuu huyo wa Mkoa kutatua tatizo la wafugaji ambao wamekuwa wakiingiza mifugo katika mashamba ya wakulima na kuharibu miundombinu ya umwagiliaji.

Awali Afisa Kilimo wa Wilaya ya Igunga Grace Mkunda alisema mradi wa umwagilaji wa mwamapuli una ukubwa wa Hekta 630 zinazomikiwa na wakulima 970.

Alisema hekta hizo na una uwezo wa kuzalisha kiasi cha zaidi ya tani 5,000 kwa mwaka za mpunga.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Tabora ameagiza wasimamizi na Maafisa Ugani na Kilimo wa mradi wa kilimo cha umwagiliaji cha Mwamapuli kusaidia wakulima wote wa eneo hilo waweze kuzalisha maguni zaidi ya 80 katika ekari moja.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa