• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA AKUTANA NA WADAU WA MICHEZO MKOANI TABORA

Posted on: July 11th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian leo Julai 11, 2023 amekutana na wadau wa michezo Mkoani Tabora kwenye Ukumbi wa Isike Mwanakiyungi kwa lengo la kujadiliana mambo yanayohusu sekta ya Michezo hususani suala la maandalizi ya Uwanja wa Al- Hassan Mwinyi unaotarajiwa kutumika katika michuano ya ligi Kuu Daraja la Kwanza.


Akizungumza na wadau , Mkuu Mkoa Dkt. Batilda amewapongeza wadau hao kwa kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha Mkoa wa Tabora unashiriki kwenye ligi kuu daraja la kwanza kwa mwaka 2023/2024 kupitia timu ya TABORA UNITED.


“Kama Mkoa tunawapongeza sana kwa kujitoa kwenu kwenye sekta ya michezo hususani mpira wa miguu na kufanikisha timu ya KITAYOSCE na sasa ni TABORA UNITED kushiriki kwenye ligi kuu daraja la kwanza na kwamba Mkoa wa Tabora umebarikiwa kuwa na wadau wenye mapenzi na timu zao za nyumbani”


Kuelekea kwenye ukarabati wa uwanja wa Al-Hassan Mwinyi, Dkt Batilda amewaomba wadau hao kutafuta namna ya kuhakikisha wanajitoa ili kuhakikisha uwanja huo unakidhi vigezo vinavyotakiwa kwa kuwa na huduma zote muhimu zinazohitajika.


“Niwaombe ninyi wadau wa michezo, kuangalia kwa namna gani tunaweza kufanya maboresho kwenye uwanja wetu ili uwanja huo uweze kutumika kwenye ligi kuu daraja la kwanza, kwani Mkoa wa Tabora umepata bahati kubwa kupata timu ambayo itashiriki ligi Kuu Daraja la Kwanza, kwetu ni fursa kubwa sana na sisi kama viongozi wa Mkoa tunatambua mchango wenu kwenye maendeleo ya michezo”


Kwa kutumia Kauli Mbiu ya “TABORA BILA LIGI KUU HAIWEZEKANI” Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Batilda Salha Burian aliwaongoza Wanatabora na kufanikisha timu ya KITAYOSCE na sasa TABORA UNITED kufuzu na kuingia Ligi Kuu Daraja la Kwanza mnamo Mei 13, 2023.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa