• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC TABORA “NIMERIDHISHWA NA KAZI YA UAKARABATI WA BWAWA HILI”

Posted on: October 13th, 2023

 

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian amefanya ziara katika Bwawa la Igombe lilipo Manispaa ya Tabora na kuridhishwa na kasi ya ukarabati wa Bwawa hilo, ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2023 alipofanya ziara Bwawani hapo.

 

“Kwa hakika nimeridhishwa na kasi ya ukarabati wa bwawa hili, na kuonyesha thamani ya fedha ilitolewa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.” Alisema Dkt. Batilda.

 

 

Sambamba na hilo Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa  viongozi ngazi ya Wilaya, kata na vijiji pamoja na wananchi walio jirani na bwawa hilo kutunza mazingira  ili kuokoa vyanza vya maji na kuhakikisha Mkoa unakuwa na maji ya uhakika kwa wakati wote, licha ya Mkoa kupata maji Ziwa Victoria.

 

“Napenda nitoe wito kwa viongozi wa Serikali ngazi ya Wilaya , kata na vijiji Pamoja na wananchi waliopo Jirani, kuhakikisha wanalinda bwana hili ambalo limekuwa msaada mkubwa sana kwetu licha ya kwamba tunapata maji kutoka ziwa Victoria.” Alisema RC. Batilda

 

 

Aidha ametoa pongezi kwa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Tanganyika na TUWASA kwa kusimamia vema ukarabati wa bwawa hilo na kuboresha huduma ya maji safi na salama.

 

“Napenda kutoa shukrani na pongezi zangu kwa wasimamizi wote wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Tanganyika na TUSAWA kwa kusimamia ukarabati huu na sasa wananchi wa Tabora wanakwenda kupata maji safi na salama.” Alisema Dkt. Batilda.

 

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Peter Bura amehaidi kusimamia na kutekeleza maagizo yote aliyopewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, ili kuhakikisha bwawa hilo linakuwa na tija kwa wananchi.

 

“Kama Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alivyoelekeza, sisi kama wasimamizi wa Wilaya tutahakikisha tunasimamia na kutekeleza maagizo yote ambayo yametolewa ili kuhakikisha bwawa hili linakuwa salama na kutoa huduma ya maji kwa uhakika.


Mpaka kukamilika kwake, mradi huu wa ukarabati wa Bwawa utakuwa umetumia kiasi cha fedha shilingi Bilioni 1.5, fedha kutoka Serikali kuu kupitia Wizara ya Maji, ambazo awali Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Balozi Dkt.Batilda Salha Burian aliziomba kwa Waziri wa Maji Mhe. Juma Awaso alipofanya ziara Mkoani Tabora mwaka 2022.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa