• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TAKUKURU MKOA WA TABORA YAOKOA MILIONI 794.1 KWA MIEZI MITATU

Posted on: April 15th, 2021

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa  wa Tabora imefanikiwa kuokoa na kurejesha kiasi cha shilingi milioni 794.1 katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Machi mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Taboea Mashauri Elisante alipokuwa akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha miezi mitatu kwa waandishi wa habari.

Alisema kati ya fedha hizo shilingi milioni 339.4 ziliokolewa kutokana na michango ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSSF)  ya wafanyakazi ambayo haikuwasilishwa na  Kampuni ya JIANGXI CEO Engineering, milioni 271 zilirejeshwa mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma,(PSSF) kutoka Tabora Railways Saccos ambazo walikuwa wamekopeshwa tangu 2015 na milioni 136.8 zilirejeshwa Tabora Railway Saccos kutoka Railway Corporation Makao Makuu.

Elisante alitaja fedha nyingine kuwa ni shilingi milioni 8.8 ambazo zilirejeshwa katika vyama vya ushirika (AMCOS) , milioni 19.9 ziliokolewa kutokana na mikopo humiza na kurejeshwa kwa watumishi wastaafu na kiasi cha milioni 15 zilireshwa na Mtumishi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TMDA) baada ya kumkamata pasipo kufuata taratibu mfanyabiashara wakati wa zoezi la ukaguzi.

Katika hatua nyingine Elisante alisema TAKUKURU Mkoa wa Tabora katika kipindi cha miezi mitatu imepokea jumla ya malalamiko 116 ambapo kati yake 50 yalikuwa na viashiri vya rushwa na 66 hayakuwa na viashiri vya rushwa.

Aliongeza kuwa kati ya malalamiko hayo 8 yalihamishiwa kwenye Idara zingine kwa ufuatuliaji na majalada 7 yamekamilika na wamefungua kesi tano mpya.

Aidha Naibu Mkuu huyo wa TAKUKURU Mkoa wa Tabora alitoa wito kwa wananchui kuendelea kuunga mkono juhudi za TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa taarifa kupitia namba husika.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa