• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TUITUNZE MIUNDOMBINU HII YA AFYA NI KWA AJILI YETU SOTE, TUWE WALINZI WA KUZUIA HUJUMA: MHE. PAUL CHACHA.

Posted on: February 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Matiko Chacha, amefanya ziara ya ukaguziwa miradi ya maendeleo katika wilaya za Uyui, Urambo na Kaliua. Ziara hiyo ikilengakusimamia utendaji serikalini na utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya Chama ChaMapinduzi (CCM).

 

Mhe. Chacha amekagua mradi wa ujenzi wa jengo laupasuaji na jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Hassan Wakasuvikilichopo Kata ya Mabama, Wilaya ya Uyui. Mradi huo unagharimu shilingi milioni232, na umefikia asilimia 85 ya utekelezaji.

 

Aidha, Mhe. Chacha alikagua ujenzi wa Kituo chaAfya Vumilia kilichopo Wilaya ya Urambo, ambapo ujenzi umekamilika kwa asilimia100. Serikali tayari imetoa shilingi milioni 300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaatiba, ambapo vifaa vya awamu ya kwanza vyenye thamani ya shilingi milioni 250tayari vimekwisha pokelewa, Vilevile Ujenzi wa Kituo cha Afya Songambele piaumekamilika kwa asilimia 100.

 

Hata hivyo, Mhe. Chacha hakuridhishwa na ujenziwa Kituo cha Afya Igagala kilichopo Wilaya ya Kaliua. Ametoa maelekezo kwa Mkuuwa Wilaya ya Kaliua, Mhe.Dkt. Gerald Mongela, kuhakikisha ujenzi wa kichomeataka unakamilika kwa wakati ili kituo hicho kiweze kutoa huduma kwa ukamilifu.

 

Akizungumza na wananchi wa Uyui na Urambo,Mhe. Chacha aliwataka wananchi kutunza miundombinu ya hospitali ili iwezekudumu na kutoa huduma bora. Alisisitiza kuwa miundombinu hiyo inajengwa kwaajili ya wananchi na kuwataka kuwa walinzi wa vifaa vinavyotolewa na serikali.Aliwahimiza pia wananchi kuacha imani za kishirikina na kutumia huduma zahospitali badala ya kutafuta waganga wa kienyeji pindi wanapopata changamoto zakiafya.

 

Wananchi wa Wilaya yaUrambo na Uyui wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi zamaendeleo, hasa kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya na zahanati. Wameahidikuendelea kumuombea Rais pamoja na viongozi wote ili waendelee kutekeleza majukumuyao kwa ufanisi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa