• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TUJITOE KWA UPENDO KAMA KRISTO, TUILINDE AMANI YETU: KARDINALI RUGAMBWA

Posted on: April 17th, 2025

Maelfu ya wakristo wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora wameungana katika ibada takatifu ya Alhamisi Kuu iliyoongozwa na Baba Askofu Mkuu, Muadhama Kardinali Protase Rugambwa, katika Kanisa la Mtakatifu Theresia Mtoto Yesu.

Katika mahubiri yake, Kardinali Rugambwa ametoa wito kwa waumini na Watanzania kwa ujumla kuishi kwa mujibu wa mafundisho ya Yesu Kristo, hususan kwa kuonesha upendo wa kweli, kujitolea kwa ajili ya wengine, na kutunza amani ya taifa.

“Tujitoe ndugu zangu, kila mmoja kwa kile alichonacho – kwa hali na mali. Tusifanye tu yale yanayotunufaisha sisi na watu wa karibu yetu pekee, bali tumsaidie hata yule ambaye hatumfahamu au ambaye ni tofauti nasi, kama Kristo alivyowaosha miguu hata wale waliomsaliti,” alisisitiza Kardinali Rugambwa.

Ameongeza kuwa kujitolea kwa dhati na kuwapenda watu wote – wema kwa waovu – ndicho kiini cha ujumbe wa Kristo, ambaye hakubagua hata wale waliokuwa na nia ya kumsaliti.

Mbali na mafundisho ya kiroho, Kardinali Rugambwa amegusia hali ya kijamii na kisiasa, akisisitiza umuhimu wa kutunza amani ya taifa kwa njia ya maridhiano, kusikilizana, na kuondoa matusi au malumbano yenye kuleta mgawanyiko.

“Hata katika siasa, tunapaswa kutumia Imani yetu kuleta maridhiano, siyo kuchochea chuki. Tukumbatie tofauti zetu kwa njia ya mazungumzo, siyo mivutano. Hapo ndipo tunapotimiza upendo wa Kristo,” alieleza.

Ibada hiyo ya Alhamisi Kuu ilihidhuliwa na Mkuu wa mkoa wa Tabora Mheshimwa Paul Chacha ilihusisha pia zoezi la kuosha miguu kwa wafuasi wa Yesu, likiwa ni ishara ya unyenyekevu na huduma. Miongoni mwa waliooshwa miguu ni Katibu Tawala wa Mkoa huo, Dkt. John Mboya.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • RC. CHA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAPYA, WAAHIDI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU.

    July 01, 2025
  • TABORA: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA MAADILI YA NCHI

    June 26, 2025
  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA YAENDESHA MAFUNZO MAALUM YA MATUMIZI YA MFUMO WA PEPMIS KWA WATUMISHI WA UMMA MKOA WA TABORA

    June 23, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa