• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

“WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MSIMAME KWENYE MISINGI YA SHERIA NA HAKI.”: MHE. RWEBANGIRA

Posted on: July 15th, 2025

Na Mwandishi Wetu – TABORA.

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Magdalena Rwebangira, amefungua rasmi mafunzo muhimu kwa waratibu na wasimamizi wa uchaguzi wa ngazi ya Jimbo, akisisitiza wajibu mkubwa walio nao katika kusimamia kwa haki na ufanisi mchakato wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

Akizungumza katika ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mtakatifu Augustino (AMUCTA) mkoani Tabora, Mhe. Rwebangira alieleza kuwa dhamana waliyopewa na Tume ya kusimamia uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ni nyeti, nzito na yenye athari kubwa kwa mustakabali wa demokrasia ya Tanzania.

Mhe. Rwebangira aliwakumbusha washiriki hao kuwa wanapaswa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo iliyowekwa kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa ukaribu na vyama vya siasa pamoja na wadau wengine wa uchaguzi ili kuimarisha imani ya wananchi katika mchakato mzima wa uchaguzi.

“Epukeni kusababisha taharuki au malalamiko kwa vyama vya siasa.Hakikisheni mnazingatia ipasavyo Katiba,Sheria,Kanuni,Miongozo na maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na yatakayotolewa na Tume,” aliongeza.

Mafunzo hayo ya siku tatu yanajumuisha jumla ya washiriki 110 kutoka mikoa ya Tabora na Kigoma, wakiwemo waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo, wasaidizi wao, maafisa wa uchaguzi, maafisa ununuzi na waratibu wa uchaguzi wa mikoa husika.

Kaulimbiu ya uchaguzi mkuu huo ni: “Kura Yako Haki Yako, Jitokeze Kupiga Kura”, kauli inayolenga kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika kuchagua viongozi wa ngazi zote kwa kutumia haki yao ya kikatiba.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • “WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MSIMAME KWENYE MISINGI YA SHERIA NA HAKI.”: MHE. RWEBANGIRA

    July 15, 2025
  • DKT. RUTANISIBWA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA SIKU MBILI KWA MAKATIBU WA AFYA KUTOKA HALMASHAURI ZA MKOA WA TABORA:ASISITIZA UWAJIBIKAJI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KWA WANANCHI

    July 15, 2025
  • "UWAJIBIKAJI NA USALAMA KWANZA: PPRA KANDA YA MAGHARIBI NA KATI YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI NA KUTOA MAFUNZO YA KUKABILI MAJANGA YA MOTO TABORA"

    July 08, 2025
  • MHE. CHACHA AIPONGEZA TIMU YA UMISSETA MKOA KWA KUSHIKA NAFASI YA TATU KITAIFA

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa