• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WATUMISHI TEKELEZENI MIRADI KWA UADILIFU KULIPA FADHILA KWA RAIS MAGUFULI –KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Posted on: August 28th, 2019

WATUMISHI TEKELEZENI MIRADI KWA UADILIFU KULIPA FADHILA KWA RAIS MAGUFULI –KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

WATUMISHI wa Umma wametakiwa kulipa fadhila kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa kufanyakazi kwa kuzingatia taraibu na Sheria wakati wa utekelezaji wa miradi wanayokuwa wamepewa kusimamia.

Kauli hiyo imetolewa leo na Kiongozi wa Taifa Mbio za Mwenge wa uhuru Mzee Mkongea Ali ikiwa ni siku ya pili  za mbio zake Mkoani Tabora kwenye Halmashauri ya Mji Nzega baada ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Alisema Serikali ya Awamu ya Tano imetoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya wananchi ikiwemo ujenzi wa Hospitali za Wilaya, vituo vya Afya , usambazaji wa maji na barabara , hivyo ni vema miradi hiyo ilingaline na thamani ya fedha zilizotolewa.

Ali alisema hatua hiyo itasaidia kuhakikisha kuwa wananchi wanapata haki sawa kama yalivyo malengo ya Rais ya kuhakikisha watanzania wote wanafaidi rasilimali za nchi kwa kupata huduma zote muhimu ikiwemo elimu na afya.

Kiongozi huyo akiwa katika Halmashauri ya Nzega Mji ameweka mawe ya msingi miradi ya maendeleo minne ikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5.

Miradi hiyo ni ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Nzega Mji na mradi wa ujenzi wa Mji wa Kisasa wa Ipazi katika eneo la Kitangile , ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kwenye Msikiti wa Ijumaa na Kituo cha Afya cha Cithian

Katika hatua nyingine Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ali ametoa mwezi Mmoja kwa Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini(TARURA) katika Halmashauri ya Nzega Mji na Mkandarasi M/S Mgalang’ombe kufanyia marekebisho maunganisho ya Msikiti Mkuu wa Ijumaa na ile inayotoka katika maegesho ya malori.

Alisema marekebisho ni pamoja na kuondoa mgongo unaonyesha barabara zilizopounganisha na kuifanya isiwe na muonekano mzuri.

Mwisho

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa