• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

BILIONI 5.4 KUJENGA BARABARA ZA TARURA MKOANI TABORA

Posted on: November 25th, 2020

JUMLA ya shilingi bilinoni 5.4 zinatarajiwa kutumika katika ukarabati na utengenezaji wa barabara za Mkoa wa Tabora ambazo ziko chini ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)

Kauli hiyo imetolewa  na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt.Philemon Sengati wakati wa sherehe fupi ya kusaini mikataba ya ujenzi na ukarabati wa barabara kwa Wakandarasi na TARURA.

Alisema kiasi hicho ni awamu ya kwanza ya kiasi cha shilingi bilioni 7.1 iliyoidhinishiwa TARURA kwa mwaka wa fedha wa 2020/21 kwa ajili ya matengenezo ya barabara.

Dkt. Sengati alisema kazi zitakazofanyika ni pamoja na ujenzi wa kilimote 2.76 kwa kiwango cha lami , ujenzi wa makaravati zaidi ya mistari 59 na uchongaji wa barabara zaidi ya kilometa 541.

Aliwasihi Wakandarasi 34 walioshinda zabuni ya kutengeneza na kukarabati barabara hizo kufanyakazi kwa kuzingatia Sheria , kanuni na miongozo , ubunifu na weledi ili Serikali iendelee kuwa na imani nao na kuwapa kazi zaidi.

“Wakandarasi walioomba kazi ni wengi lakini nyie 34 tu ndio mmefanikiwa kupata nafasi …kwa hiyo msituangashe …tangulizeni mbele uzalendo kwa maslahi mapana ya Mkoa wa Tabora na Taifa kwa ujumla” alisisitiza.

Aliwataka Wakandarasi walioshinda kazi hiyo kuhakikisha kazi inakamilika ndani ya muda uliopangwa na kwa kuzingatia thamani halisi ya fedha iliyotolewa na Serikali.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa wa Tabora alimwagiza Mratibu wa TARURA na Wataalamu wake kuhakikisha wanasimamia kwa karibu miradi yote iliyopangwa ili ikamilike kwa viwango vilivypangwa.

Alisema Serikali inatoa fedha nyingi kwa miradi ya barabara , hivyo hatasita kumchukulia hatua Mtumishi ambaye atasababisha miradi kutekelezwa chini ya kiwango kwa kushindwa kusimamia majukumu yake ipasavyo.

Dkt. Sengati alisema ujenzi wa miundombinu hiyo na mingine itachochea maendeleo katika sekta za utalii,  kilimo.mifugo, uvuvi , viwanda na biashara.

Alisema hatua hiyo itasaidia kuimarisha kipato cha wakazi na Mkoa  kwa ujumla na kufikia maono ya miaka mitano ijayo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ya kukuza uchumi kwa wasatani wa asilimia 8 .

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa