• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DC URAMBO APOKEA MIL.20 ZA MADAWATI KUTOKA MILAMBO UNION

Posted on: January 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Urambo  Kamishina Mwandamizi wa Uhifadhi Mhe. Eribaliki Bajuta amepokea hundi ya shilingi milioni ishirini na zaidi kutoka Chama Kikuu cha Ushirika Milambo kwa lengo la kuunga mkono juhudi za serikali katika kutatua changamoto ya madawati wilayani Urambo.

Akiongea baada ya kupokea hundi hiyo Mhe. Bajuta alisema kuwa, katika kukabiriana na changamoto ya madawati wilayani hapo kumeanzishaa Kampeni ya ukusanyaji wa madawati  inayoitwa “Dawati ni Elimu Kukaa chini Urambo Sasa Basi” yenye malengo ya kukusanya madawati elfu sita mia tano na ishirini (6520), na kutoa wito kwa wadau mbalimbali kujitokeza na kuchangia madawati hayo.

Aidha, Mhe. DC amebainisha kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa madawati ambapo tayari wameshaanza kukabiliana na changamoto hiyo kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali kikiwemo Chama Kikuu cha Ushirika Milambo, ili kuona nmna sahihi ya kukabiria na changamoto hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya (W) Urambo  Ndugu. Grace Quintine amesema kuwa fedha hizo zilizopokelewa zinakwenda kutengeneza madawati zaidi ya mia Tisa (900)  ambapo halmashauri na wadau wengine wakichangia kutapatikana madawati si chini ya elfu mbili (2000).

Mrajisi wa vyama vya Ushirika Mkoa wa Tabora Ndugu. Venance Msafiri amesema kuwa, vyama vya Msingi vinaongozwa na misingi mikuu saba (7) na moja ya misingi hiyo ni hii ya utoaji wa fedha kwa halmashauri husika. Na ofisi yake imehaidi kuweka mikakati kuhakikisha vyama vya msingi vinagusa jamii moja kwa moja kupitia utoaji wa misaada kwa jamaii.

Naye, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Milambo Ndugu. John Ntezilyo ameleza kwamba, wataendelea kuboresha mazingira mazuri ya wanafunzi kwa kutambua jitihada za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuimarisha sekta ya elimu nchi na mkoa wa Tabora kwa ujumla.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa