• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

DKT.MBOYA APOKEA WAGENI KUTOKA UNICEF, WALIOFIKA KUFUATILIA MIRADI YA ELIMU INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA CANADA MKOANI TABORA.

Posted on: January 27th, 2026


Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya, amewapokea wageni kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF), wakiongozwa na Bw. Michael Dalali, Mchambuzi Mwandamizi wa Maendeleo kutoka Serikali ya Canada, walipotembelea ofisini kwake kwa ziara ya kikazi.

Lengo la ziara hiyo ni kufuatilia na kutathmini maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya elimu inayofadhiliwa na Serikali ya Canada kupitia UNICEF, ili kuhakikisha miradi hiyo inaleta matokeo yaliyokusudiwa kwa watoto na jamii nzima kwa ujumla.

Katika ziara yao mkoani Tabora, ujumbe huo unatarajiwa kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya elimu inayotekelezwa katika wilaya za Kaliua, Sikonge, Uyui pamoja na Manispaa ya Tabora.

Ofisi ya Mkuu wa  mkoa wa Tabora inatoa shukrani za dhati kwa wadau wote wa maendeleo na inaendelea kuthamini ushirikiano wa wadau hao, hususan Serikali ya Canada na UNICEF, katika juhudi zao za  kuboresha sekta ya elimu na kuimarisha ustawi wa watoto katika mkoa wa Tabora.


Top of Form



Bottom of Form


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DKT.MBOYA APOKEA WAGENI KUTOKA UNICEF, WALIOFIKA KUFUATILIA MIRADI YA ELIMU INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA CANADA MKOANI TABORA.

    January 27, 2026
  • WAZIRI SHEMDOE ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA SH. BILIONI 17.2 MKOANI TABORA, ATOA WITO IKAMILIKE KWA UBORA NA KWA WAKATI

    January 25, 2026
  • MWL. RWEYEMAMU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI SIKONGE, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUFANYA TATHMINI YA MATOKEO YA KITAIFA YA MWAKA 2025.

    January 23, 2026
  • WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI - TANZANIA WAHITIMISHA ZIARA YAO MKOANI TABORA KWA KUTEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI SIKONGE

    January 17, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa