• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

HUDUMA ZA KIBINGWA ZASOGEZWA KWA WANANCHI: MADAKTARI WABOBEZI 56 WAWASILI TABORA KUHUDUMIA WANANCHI

Posted on: September 29th, 2025

Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha, Mkuu wa Wilaya yaKaliua, Mhe. Dkt. Gerald Mongella ameongoza hafla fupi ya kuwapokea madaktaribingwa wa Mama Samia waliowasili mkoani humo kwa ajili ya kutoa huduma zakibingwa kwa wananchi katika halmashauri zote nane za mkoa. Hafla hiyoimefanyika katika ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora nakuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa sekta ya afya.

 

Akizungumza katika hafla hiyo, Mganga Mkuu waMkoa wa Tabora, Dkt. Honoratha Rutatinisibwa ameishukuru Serikali ya Awamu yaSita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. SamiaSuluhu Hassan, kwa kuanzisha mpango huu wa kambi za madaktari bingwa.Amebainisha kuwa zaidi ya watumishi wa afya 367 wamepata mafunzo kazini kupitiakambi hizi na wananchi wamenufaika kwa kupata huduma karibu, hivyo kupunguzagharama kubwa za matibabu.

 

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Wizara ya Afya,Dkt. Felix Bundala, amesema lengo kuu la kambi za madaktari bingwa nikuwasogezea huduma wananchi wa kipato cha chini, huku wakitoa mafunzo elekezikwa wataalamu wa afya katika maeneo wanayofikia. Aidha, ameongeza kuwa mpangohuu pia unasaidia kuimarisha miundombinu ya afya na matumizi ya vifaa tiba vyakisasa kwa ufanisi zaidi.

 

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora,Ndg. Amos Ackim, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelezauwekezaji mkubwa katika sekta ya afya mkoani humo. Ameeleza kuwa kwa mwaka wafedha 2024/25 pekee, Tabora imepokea dawa na vifaa tiba vyenye thamani yashilingi bilioni 11, wataalamu wa afya 504 pamoja na magari 24 ya kubebeawagonjwa. Ameongeza kuwa ujio wa madaktari bingwa ni uthibitisho wa dhamira yadhati ya serikali kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

 

Akifunga hafla hiyo, Dkt. Mongella ameishukuruserikali kwa maono na hekima ya kuanzisha mpango huu wa madaktari bingwa waMama Samia. Amesema kuanza kwa huduma hizo kumeleta msaada mkubwa kwa wananchiwa Tabora, kumeimarisha mafunzo kwa wataalamu wa afya na kuongeza ufanisikatika matumizi ya vifaa tiba. Katika awamu hii ya nne, jumla ya madaktaribingwa 56 wamewasili mkoani humo, ambapo tangu kuanza kwa mpango huu zaidi yawananchi 230,000 wamefikiwa na huduma za kibingwa katika Mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZASOGEZWA KWA WANANCHI: MADAKTARI WABOBEZI 56 WAWASILI TABORA KUHUDUMIA WANANCHI

    September 29, 2025
  • MKOA WA TABORA WAONESHA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA ULINZI WA HAKI ZA MTOTO

    September 26, 2025
  • RC CHACHA AFUNGUA KONGAMANO LA WAFANYABIASHARA WADOGO MKOA WA TABORA, AWASIHI WANANCHI KUCHANGAMKIA FURSA ZA ZABUNI ZA SERIKALI

    September 24, 2025
  • MKOA WA TABORA WAPATA ALAMA YA KIJANI KATIKA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE.

    August 27, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa