• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MAAFISA TARAFA 22 MKOANI TABORA WAKABIDHIWA PIKIPIKI ZA JPM

Posted on: May 18th, 2020

MAAFISA TARAFA 22 MKOANI TABORA WAKABIDHIWA PIKIPIKI ZA JPM

 JUMLA ya pikipiki 22 zimekabidhiwa kwa Maafisa Tarafa 22 wa Mkoani Tabora ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa mwaka 2019 wakati alipokutana na Maafisa tarafa wote nchini katika kikao kazi jijini Dar es Salaam.

Pikipiki hizo zimekabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanri wakati wa halfa fupi ya makabidhiano.

 Alimshukuru Rais kwa kutoa pikipiki hizo ambazo zitasaidia kurahisisha utekelezaji wa majukumu ya Maafisa Tarafa katika maeneo yao.

Mwanri aliwataka Maafisa Tarafa walikabidhiwa pikipiki kuzitunza na kuzitumia kwa malengo yaliyokusudiwa ikiwa ni pamoja na kufuatilia shughuli mbalimbali Mkoani humo ili kuwasaidia Wakuu wa Wilaya kutekeleza majikumu yao kwa ufanisi.

“Hizi pikipiki ni kwa ajili ya matumizi ya Ofisi ikiwemo kwenda maeneo mbalimbali kutatua matatizo ya wanannchi na sio vinginevyo…tukikuta umetoa namba na kuigeuza Bodaboda na shughuli nyingine hazihusiani na majukumu yao ujue kuanzia siku hiyo una kazi” alisisitiza

Mwanri aliwataka Maafisa Tarafa hao kuzitumia pikipiki hizo kwa kuwafikia wananchi wote wakiwemo wakulima hasa kipindi hiki cha mavuno na lengo kuu likiwa ni kuwaasa kutunza chakula na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili.

Kwa upande wa Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu alisema wataandaa mwongozo ambao utaweka vigezo wa kusimamia pikipiki hizo ikiwemo kuhhakikisha mtumiaji amepewa mfunzo na kuwa na kitabu kinachoonyesha mzunguko na matumizi ya pikipiki hizo.

Naye Afisa Tarafa wa Ussoke Nelson Majura alimshukuru  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuwawezesha kupata usafiri huo ambao utarahisisha utendaji kazi wao huku akiahidi kuwa watazitunza na kufuata maelekezo yote waliyopewa na viongozi.

Aliuomba uongozi wa Wilaya mkoani humo kuhakikisha wanasaidia mafuta na fedha matengenezo ili kusudi la kusaidiwa na Rais liweze kuzaa matunda ya kuwahudumia wananchi.

Kwa upande wa Afisa Tarafa wa Tabora Kaskazini Haika Masue alimshukuru Rais kwa moyo wake wa upendo wake kwao kwa kuwapatia usafiri na vilevile kukutana nao.

Alisema watatumia pikipiki kutembelea wananchi na kusikiliza shida zao ikiwemo kutoa elimu ya kuzingatia maagizo ya wataalamu katika kujikinga na janga la Corona.

Tarafa zilizonufaika za pikipiki mkoani ni Tabora Kaskazini , Tabora kusini, Kiwele, Sikonge, Manonga, Igunga, Igurubi, Simbo, Nyasa, Bukene, na Puge.

 Nyingine ni Mwakalundi, Uyui, Igalula, Ilolangulu, Urambo, Usoke, Kaliua, Kashishi, Kazaroho, Mwongozo na Igagala.

 

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa