• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MHE. CHACHA ALAANI WIZI WA PAMBA YA WAKULIMA IGUNGA, AELEKEZA VYOMBO VYA ULINZI KUHAKIKISHA SHERIA INACHUKUA MKONDO WAKE

Posted on: August 6th, 2025


 

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mheshimiwa Paulo Chacha, ameonesha masikitiko makubwa na ghadhabu kufuatia vitendo vya udanganyifu vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa vyama vya msingi vya wakulima wa pamba (AMCOS) katika Wilaya ya Igunga.

Hatua hiyo imekuja baada ya timu maalum kutoka Wizara ya Kilimo kutoa taarifa ya ukaguzi wa mizani za kielektroniki zinazotumika kupima zao la pamba, ambapo walibaini kuwepo kwa mchezo mchafu wa kuchakachua mizani na kusababisha wizi mkubwa wa zao hilo.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mizani 107 ilisambazwa na Serikali kwa vyama vya msingi katika Wilaya ya Igunga, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wakulima wanapata haki yao kwa kupimiwa pamba kwa usahihi, baada ya kuwepo malalamiko ya awali kuhusu mizani za kizamani.

Hata hivyo, uchunguzi umebaini kuwa vyama 32 vya msingi vimehusika na hujuma ya kuchakachua mizani hizo mpya, na kusababisha upotevu wa zaidi ya kilo 998,977 za pamba zenye thamani ya shilingi milioni 596.38 katika msimu huu pekee wa ununuzi.

Mheshimiwa Chacha amesema vitendo hivyo ni uhujumu wa uchumi vinavyolenga kuwakandamiza wakulima wa kawaida wanaojituma kuzalisha, na kwamba Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan haitavumilia kabisa aina hiyo ya uonevu na

wizi.

Amezitaka mamlaka husika kuchukua hatua kali, za haraka na kisheria kwa wote waliohusika, akisisitiza kuwa mkoa wa Tabora hautakuwa mahali salama kwa watu wanaotumia nafasi zao kuwadhulumu wananchi.

Tayari taarifa ya uchunguzi imewasilishwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kwa hatua zaidi, huku serikali ikiahidi kuimarisha mifumo ya usimamizi wa ununuzi wa mazao kuhakikisha wakulima wananufaika na jasho lao.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC TABORA AKAMILISHA AHADI MILIONI 15 KWA BONDIA ZUGO, PAMBANO KALI KATI YA ZUGO NA KUMAR KUFANYIKA KESHO TABORA HOTEL

    August 22, 2025
  • “KANISA LIPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUENDELEZA MAENDELEO TABORA: KARDINALI RUGAMBWA”.

    August 11, 2025
  • TFS YAENDESHA MAFUNZO YA UHIFADHI WA MAZINGIRA DHIDI YA UHARIBIFU WA ARDHI NA MISITU MKOANI TABORA

    August 11, 2025
  • MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MAGHARIBI YAFIKIA TAMATI: BALOZI SIRRO AHAMASISHA WAKULIMA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YAO KWA KUTUMIA VIFUGASHIO BORA.

    August 08, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa