• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MHE. PAULO CHACHA AONGOZA KIKAO CHA UTENGAJI WA MAENEO KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA BBT KILIMO MKOA WA TABORA.

Posted on: February 27th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Matiko Chacha, ameongoza kikao cha utengaji wa maeneo kwa ajili ya utekelezaji wa programu ya BBT Kilimo. Kikao hicho kilihudhuriwa na kamati ya usalama ya mkoa, wakuu wa wilaya, makatibu tawala wa wilaya, wakurugenzi watendaji, pamoja na wakuu wa divisheni na vitengo. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi mdogo wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.

Akifungua kikao hicho Mhe. Chacha amesema anatumaini kupitia kikao hicho kitawajengea uelewa wa pamoja wataalam pamoja na viongozi wa mkoa wa Tabora ili sasa waweze kwenda kutekeleza mpango huo kwa ufanisi utakaoleta matokeo makubwa mkoani Tabora.

Katika mada ya utengaji wa maeneo, Bw. Samson Poneja, Mkurugenzi Msaidizi - Sehemu ya Pembejeo za Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo, alisisitiza kuwa mpango wa BBT Kilimo utakuwa suluhisho muhimu katika kuhakikisha upatikanaji wa chakula cha kutosha. Aidha, aliongeza kuwa mpango huu utaongeza ajira za moja kwa moja kwa vijana na kwa watu wengine watakaoshiriki katika shughuli za kilimo.

Kwa upande mwingine, Ndg. Yobu Kiungo, Bwana Miti mkuu mkoa wa Tabora, alitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa ya biashara ya hewa ya kaboni. Alieleza kuwa mkoa wa Tabora una maeneo yanayofaa kwa ajili ya uwekezaji katika biashara hii ya kimkakati, na kwamba itatoa faida kubwa kutokana na ufanisi na uhakika wa kipato kama jinsi unavyoonekana katika maeneo mengi nchini.

Wataalam na viongozi walikubaliana kwa pamoja na mpango huo, na walieleza ahadi yao ya kuutekeleza katika maeneo yao kwa kuzingatia sheria na maelekezo yaliyotolewa katika kikao hicho.

Akifunga kikao hicho kwa niaba ya Mhe. Chacha, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Dkt. Gelard Mongella, alisisitiza kuwa kila wilaya katika mkoa wa Tabora inapaswa kutenga eneo lisilopungua ekari 5000 na kuendelea, kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa BBT Kilimo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BODI YA WADHAMINI MFUKO WA MISITU TANZANIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO TABORA.

    May 07, 2025
  • NAIBU WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA.

    May 03, 2025
  • DKT. BITEKO AIPONGEZA TANESCO NA ETDCO KWA JUHUDI ZA KUBORESHA HUDUMA YA UMEME URAMBO

    May 02, 2025
  • SERIKALI IPO KAZINI KUBORESHA HAKI NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI, WAFANYAKAZI NI UTI WA MGONGO WA TAIFA – MHE. SAUDA MTONDOO,

    May 01, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa