• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
      • Community development
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC CHACHA APOKEA UJUMBE WA ALN, WAUNGA MKONO JITIHADA ZA KUKUZA MAADILI NA KUPINGA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA.

Posted on: January 28th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Chacha amepokea rasmi ujumbe wa wageni kutoka Shirika la A Light to the Nations (ALN) lenye makao yake makuu nchini Marekani, waliowasili ofisini kwake kwa lengo la kujitambulisha na kueleza dhima ya ziara yao mkoani humo.

Ujumbe huo umeongozwa na mwenyeji wao, Mchungaji Rashid Hassan wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania – Kidatu, na unajumuisha Mchungaji Joseph Kalyango kutoka Uganda pamoja na Mchungaji Isaack Maliyamungu kutoka Rwanda.

Katika ziara yao mkoani Tabora, ujumbe huo unatarajia kutembelea shule za msingi na sekondari katika wilaya za Tabora Manispaa,Urambo, Kaliua, Sikonge, Uyui na Nzega, ambako watapata fursa ya kuzungumza na wanafunzi pamoja na vijana kuhusu masuala ya maadili na malezi bora.

Lengo kuu la ziara hiyo ni kutoa elimu kwa vijana kuhusu hatari za matumizi ya dawa za kulevya, kuwahamasisha kuishi kwa kufuata maadili mema, pamoja na kuwajengea mtazamo chanya wa maisha unaozingatia misingi ya nidhamu, uwajibikaji na heshima katika jamii.

Sambamba na shughuli hizo za uhamasishaji, ujumbe huo pia unatarajia kutoa msaada wa vifaa vya michezo, hususan mipira ya mpira wa miguu na pete, kwa baadhi ya shule zitakazotembelewa, kama sehemu ya kuunga mkono maendeleo ya michezo na kukuza afya na mshikamano miongoni mwa vijana wa mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UCSAF YABADILISHA USO WA MAWASILIANO MKOA WA TABORA

    January 28, 2026
  • RC CHACHA APOKEA UJUMBE WA ALN, WAUNGA MKONO JITIHADA ZA KUKUZA MAADILI NA KUPINGA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA VIJANA.

    January 28, 2026
  • DKT.MBOYA APOKEA WAGENI KUTOKA UNICEF, WALIOFIKA KUFUATILIA MIRADI YA ELIMU INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA CANADA MKOANI TABORA.

    January 27, 2026
  • WAZIRI SHEMDOE ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA SH. BILIONI 17.2 MKOANI TABORA, ATOA WITO IKAMILIKE KWA UBORA NA KWA WAKATI

    January 25, 2026
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice
  • Migration Tanzania

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa