• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

NI MARUFUKU KUCHIMBA MADINI KATIKA ENEO LA HIFADHI LA KULULU INYONGA EAST: MHE. CHACHA.

Posted on: February 25th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paulo Matiko Chacha, amefanya ziara yakutembelea mgodi wa Kitunda uliopo wilayani Sikonge, pamoja na kusikilizachangamoto zinazowakabili wananchi wa eneo hilo.

 

Akiwasilisha changamoto zinazowakabiliwachimbaji madini wa mgodi huo, Bw. Godfrey Mwaniwiti, Katibu wa Chama chaWachimbaji Madini Mkoa wa Tabora (Taborema), amebainisha kuwa wachimbaji haowanakutana na changamoto ya ukosefu wa mashine ya kisasa ya kuchoronga madini,jambo linalowafanya wachimbaji hao kufanya kazi kwa kubahatisha, badala yakutumia vifaa bora na vya kisasa.

 

Akijibu suala la mashine za kuchoronga, Bi.Fatuma Kyando, Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora, ameeleza kuwa Wizara yaMadini chini ya kampuni ya STAMICO tayari imenunua mashine za kisasa zakuchoronga. Aliongeza kuwa katika awamu ya kwanza, mashine hizo zilisambazwakatika mikoa michache, na mkoa wa Tabora umejumuishwa katika mpango wa awamu yapili wa kuletewa mashine hizo. Wachimbaji wa mkoa huo watahitajika kuchangiagharama kidogo ili kuzitumia mashine hizo pindi zitakapofika.

 

Katika kujibu kero za wananchi wa Kitunda,Mhe. Chacha amesisitiza kuwa ni marufuku kuendeleza shughuli za uchimbaji wamadini katika eneo la hifadhi la Kululu Inyonga East. Amewataka wananchikubakia kwenye maeneo yaliyotengwa na serikali kwa shughuli hizo.

 

Aidha, Mhe. Chacha ametoa msaada wa mifuko 100ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi katika eneo la mgodi waKitunda, pamoja na mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha polisi.Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Mhe. Cornel Magembe, pia amechangia mifuko mingine50. Lengo la michango hii ni kuboresha miundombinu ya kijamii na kuimarishausalama kwa wananchi wa eneo hilo.

 

Ziara hii wilayani Sikonge imehitimisha ziara ya kutembelea halmashauri zoteza mkoa wa Tabora kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza kero zawananchi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa