• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

NZEGA DC WAPEWA WIKI MBILI KUKABIDHI HOSPITALI KWA UONGOZI WA MJI WA NZEGA

Posted on: August 15th, 2019

NZEGA DC WAPEWA WIKI MBILI KUKABIDHI HOSPITALI KWA UONGOZI WA MJI WA NZEGA

MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amemwagiza Katibu Tawala Mkoa kuhakikisha ndani ya wiki ya mbili uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega unakabidhi Hospitali ya Wilaya kwa Halmashauri ya Mji wa Nzega.


Ametoa agizo hilo jana wakati wa Kikao Maalumu cha Baraza la Madiwani ya kupitia hoja ya mbalimbali  kutoka Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2017/18.

Alisema tayari viongozi mbalimbali akiwemo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa walishaagiza kuwa Halmashauri ya Wilaya ikabidhi Hospitali kwa Mji wa Nzega.

“Hakuna haja ya Halmashauri ya Wilaya ya Nzega kuendelea kung’ang’ania Hospitali kwani viongozi mbalimbali walishaagiza ikiabidhiwe kwa Mji wa Nzega kwa sababu ipo katika eneo lao” alisema.

Mwanri alisema hatua ya kukabidhi hiyo kwa Nzega Mji kutaisaidia Halmashauri ya Wilaya ya Nzega kuomba fedha kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali yake lakini ilivyo hivi sasa haiwezekani kupata fedha kwa kuwa bado inahesabika kuwa iko kwao.

Alisema inasikitisha kuona kuwa jambo hilo lishatolewa maamuzi na Viongozi wakuu lakini bado linajitokeza kwenye taarifa ya CAG na kuzalisha hoja ya kiukaguzi.

Mwanri alisema ndani ya mbili ni vema taratibu zote za maandalizi ya makabidhiano ziwe zimefanyika na usimamizi uanze kuwa wa Halmashauri ya Mji wa Nzega.

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu alisema itawachukulia hatua watumishi wote ambao watazisababishia Halmashauri kuzalisha hoja za kiukaguzi za kiukaguzi.

Alisema watumishi ambao wamepewa dhamana ya kukusanya mapato ya Serikali ni lazima wawe waaminifu katika kusimamia zoezi la ukusanyaji wa mapato kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Wilaya husika na Taifa kwa ujumla.

Makungu aliwaomba Madiwani kuhakikisha wanafuatia utekelezaji wa miradi mbalimbali katika Kata zao ili miradi hiyo iwe na ubora unaotakiwa.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Nzega William Jomanga alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa hatua ya kuingilia kati mvutano uliopo wa umiliki wa Hospitali ya Nzega.

Alisema hatua itawasaidia kuwa na usimamizi wa karibu na kuepuka kuzalisha hoja za kiukaguzi.

 

Mwisho














































ReplyReply allForward






Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa