• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RAS AAGIZA MADIWANI WA UYUI KUWACHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYAO

Posted on: June 18th, 2021

RAS  AAGIZA  MADIWANI WA UYUI KUWACHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI WANAOISHI NJE YA VITUO VYAO 

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uyui limeagiza kuwachukulia hatua za kinidhamu Watumishi wote ambao wanaosihi nje ya vituo vyao vya kazi na kuendelea kuisababishia Serikali hasara na kuzorotesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha Baraza Maalum la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui la kupitia Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Alisema tayari kuna orodha ya Watumishi ambao bado wanaishi Tabora mjini badala ya kukaa katika eneo la Isikizya ambayo ni ndio Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Uyui

Makungu alisema kuwa hivi sasa hakuna kisingizio kwa sababu upatikanaji wa huduma zote muhimu kama vile maji ya uhakika, umeme na afya zipo katika Makao Makuu ya Halmashauri hiyo.

Alisema kuendelea kwa Watumishi kuishi Tabora mjini huku wakifanyakazi Uyui ni dharau dhidi ya maagizo ya viongozi wa juu waliyoyatoa katika nyakati tofauti katika maeneo mbalimbali hapa nchini ya kuzitaka Halmashauri zote ambazo Ofisi zake ziko katika Halmashauri nyingine kuondoka na kwenda kwenye makao makuu yao na watumishi wake.

Makungu alisema kama Madiwani wakishindwa kuwachukulia hatua Ofisi ya Mkuu wa Mkoa inatarajia kuchukua hatua kali.

Aliongeza sanjari na Watendaji wa Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Uyui  na watumishi kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Wilaya wanatakiwa kuishi maeneo yao ya kazi.

Makungu alisema lengo la kuwataka Watumishi wote katika maeneo yao ni kuhakikisha wananchi hawapati usumbufu wakitaka huduma kutoka kwa watumishi kwa kisingizio ya kuishi mbali na Ofisi zao.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui Said Ntahondi alimtaka Mkurugenzi Mtendaji kuorodhesha majina ya watumishi wote ambao hadi hivi wanaishi nje ya Isikizya ili Baraza la Madiwani liweze kuwachukulia hatua za kinidhamu.

 

MWISHO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • RC CHACHA AZINDUA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA MKOA WA TABORA, ATOA WITO WA KULINDA NDOTO ZA WATOTO.

    May 19, 2025
  • TABORA YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA FAMILIA KWA KUTOA WITO WA MALEZI BORA NA KUPINGA UKATILI.

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa