• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RAS TABORA AKUTANA NA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU LA TABORA,ASKOFU BUDUDU;ATOA PONGEZI NA SALAMU ZA SERIKALI

Posted on: May 29th, 2025

Na. Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. John Rogath Mboya, leo tarehe 29 Mei 2025 amefanya ziara ya heshima na mazungumzo maalum na Askofu Msaidizi mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Askofu Josaphat Jackson Bududu. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ya Baba Askofu iliyopo ndani ya Kanisa la Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, Manispaa ya Tabora.

Katika mazungumzo hayo ya kirafiki na kimaadili, Dkt. Mboya alimpongeza Baba Askofu Bududu kwa kuteuliwa kwake na Baba Mtakatifu Hayati Francisko kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Tabora, uteuzi uliofanyika rasmi tarehe 26 Februari 2025, na kuwekwa wakfu tarehe 25 Mei 2025 na Mwadhama Kardinali Protase Rugambwa.

"Nakupongeza kwa dhati kwa uteuzi huu mkubwa na wa heshima. Ni ishara ya imani kubwa uliyopewa na Kanisa na tunaamini utatoa mchango mkubwa katika huduma ya kiroho na kijamii kwa wananchi wa Tabora," alisema Dkt. Mboya.

Kwa upande wake, Baba Askofu Josaphat Bududu alitoa shukrani kwa serikali na hususan uongozi wa Mkoa wa Tabora kwa ushirikiano na upendo waliomwonesha tangu uteuzi wake, akiahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa serikali katika kuhakikisha ustawi wa jamii unaimarika kupitia mafundisho na huduma mbalimbali za kanisa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RAS TABORA AKUTANA NA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU LA TABORA,ASKOFU BUDUDU;ATOA PONGEZI NA SALAMU ZA SERIKALI

    May 29, 2025
  • DKT. MBOYA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA TASAF AWAMU YA TATU, ATOA PONGEZI KWA UTEKELEZAJI MZURI

    May 29, 2025
  • BARAZA LA BIASHARA MKOA WA TABORA LADHAMIRIA KULETA MAGEUZI KATIKA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KWA WANANCHI

    May 21, 2025
  • VIONGOZI WA MIKOA YA TABORA NA KIGOMA WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE 2025

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa