• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Nukushi ya malalamiko |
TABORA REGION ADMINISTRATIVE SECRETARY

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi Ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Biashara
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Mawasiliano
    • Muundo
  • Wilaya
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Wilaya ya Urambo
    • Wilaya ya Igunga
    • Wilaya ya Uyui
    • Wilaya ya Kaliua
    • Wilaya ya Sikonge
    • Wilaya ya Nzega
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Tabora
    • Halmashauri ya Manispaa ya Tabora
    • Halmashauri ya Wilaya ya Igunga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua
    • Halmashauri ya Wilaya Urambo
    • Halmashauri ya Mji wa Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega
    • Halmashauri ya Wilaya Sikonge
  • Fursa za Uwekezaji
    • Miombo Project
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Kilimo
      • Miombo Project
        • Miradi iliyokamilika
        • Miradi inayoendelea
    • Mifugo
    • Opportunity services
    • Viwanda na Biashara
      • New menu item
    • Madini
    • Uvuvi
    • EQUIP-TANZANIA
    • FURSA ZA UWEKEZAJI
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Tafiti
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

TANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI KUWATAMBUA WATU WENYE ULEMAVU.

Posted on: July 16th, 2025

Na. Robert Magaka –Tabora.

 

NaibuKatibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu,Bi. Zuhura Yunus, amefungua rasmi mafunzo maalum ya siku tatu kwa MaafisaTEHAMA na Maafisa Ustawi wa Jamii kutoka mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi,kuhusu matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa kuwatambua watu wenye ulemavunchini (PD-MIS). Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya JM, mjiniTabora.

 

Akizungumzawakati wa ufunguzi, Bi. Yunus amesema mafunzo hayo yanalenga kuwajengea uwezowatendaji hao kuhusu matumizi ya mfumo wa PD-MIS, ili wanaporejea katika maeneoyao ya kazi waanze mara moja kusajili na kuwaunganisha watu wenye ulemavu nahuduma mbalimbali zinazotolewa na Serikali.

 

Ameelezakuwa mfumo huo utawezesha Serikali kupata takwimu sahihi na za wakati kuhusuwatu wenye ulemavu, hivyo kurahisisha utoaji wa huduma stahiki kama vileusajili rasmi, upatikanaji wa vifaa saidizi, mikopo isiyo na riba ya asilimia2, na fursa za ununuzi wa umma kwa makundi maalum.

 

Awali,akiwakaribisha washiriki wa mafunzo hayo, Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa waTabora, Bw. Abakos Deodatus, alieleza kuwa mafunzo hayo yataleta mapinduzimakubwa katika sekta ya ustawi wa jamii, kwa kuwa sasa watendaji watawezakupata taarifa muhimu kwa urahisi na ufanisi zaidi wakati wa kuwahudumia watuwenye ulemavu.

 

NayeMwakilishi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bi. Amina Mfaki, ameishukuruSerikali kwa kubuni mfumo huo muhimu, na kusisitiza kuwa ofisi yake itaendeleakuusimamia kwa ukaribu ili kuhakikisha unatekelezwa kikamilifu na kwa manufaayaliyokusudiwa.

 

Kwaupande wake, Mkurugenzi wa Kitengo cha Watu wenye Ulemavu kutoka Ofisi yaWaziri Mkuu, Ndg. Rasheed Maftah, alibainisha kuwa mafunzo hayo ni sehemu yautekelezaji wa kitaifa, yakiwa ni ya awamu ya tatu baada ya kufanyika kwamafanikio katika kanda ya ziwa na kanda ya kati.

 

Kwahatua hii, Tanzania imeandika historia ya kuwa nchi ya kwanza katika ukanda waAfrika Mashariki kuanzisha na kutumia mfumo wa kidijitali kwa ajili ya utambuzina ufuatiliaji wa huduma kwa watu wenye ulemavu, ikiwa ni sehemu ya dhamira yaSerikali ya Awamu ya Sita kuhakikisha hakuna mwananchi anayeachwa nyuma katikamaendeleo.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 18, 2023
  • SIKU YA KIMATAIFA YA WANAWAKE MACHI 8 March 07, 2024
  • BEI ELEKEZI YA MBOLEA YA CAN KWA KAMPUNI YA YARA June 15, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU TANZANIA BARA March 23, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI NA SHERIA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO.

    July 17, 2025
  • TANZANIA YAONGOZA AFRIKA MASHARIKI KWA KUANZISHA MFUMO WA KIDIGITALI KUWATAMBUA WATU WENYE ULEMAVU.

    July 16, 2025
  • “WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MSIMAME KWENYE MISINGI YA SHERIA NA HAKI.”: MHE. RWEBANGIRA

    July 15, 2025
  • DKT. RUTANISIBWA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA SIKU MBILI KWA MAKATIBU WA AFYA KUTOKA HALMASHAURI ZA MKOA WA TABORA:ASISITIZA UWAJIBIKAJI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KWA WANANCHI

    July 15, 2025
  • Angalia zote

Video

VIJANA WAKAA MEZA MOJA NA RC MKOA WA TABORA
video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Maelezo na fomu ya ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa umma
  • Guidelines for the use of ICT in government
  • Agriculture
  • MALALAMIKO,PONGEZI NA MAONI INGIA HAPA
  • Bofya hapa Eoffice

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Ofisi ya Rais-Tamisemi
  • Ofisi ya Rais-Utumishi
  • SALARYSLIP
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tabora

    S.L.P: 25 Tabora

    Simu: 026 2604058

    Mobile:

    Barua Pepe: ras.tabora@tamisemi.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Service
    • owner

Haki Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tabora .Haki zote zimehifadhiwa